Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,844
- 3,129
Bora umesema.
Nilifundishwa kwamba ukiona jambo haliko sawa na ukabakibkimya, unachuma dhambi wewe. Maana huenda anayefanya makosa hajui lolote isipokuwa alihitaji msaada wako.
Nilifundishwa kwamba ukiona jambo haliko sawa na ukabakibkimya, unachuma dhambi wewe. Maana huenda anayefanya makosa hajui lolote isipokuwa alihitaji msaada wako.