Kuzama sio kwenye maji tu

Kuzama sio kwenye maji tu

Ndio upo sahihi
Sasa ku move on kwenda mbali na mazingira ya vishawishi hapo ndio kasheshe huanzia
Kama hiyo hali haijaanza kumkera muhusika mwenyewe ni ngumu ku-move on.

Na njia za kuondokana na hali kama hizo huwa ni kwa kuanza mdogo mdogo, hauwezi ku move on mbali na mazingira ya vishawishi ghafla, hilo haliwezekani lazima utarudi kule kule, lakini ukianza kwa kuyafahamu mazingira halisi ya vishawishi then ukaamua kwa dhati, naamini kila kitu kina wezekana, ni suala la kujua namna ya kuya-control mawazo yako tu.
 
Kama hiyo hali haijaanza kumkera muhusika mwenyewe ni ngumu ku-move on.

Na njia za kuondokana na hali kama hizo huwa ni kwa kuanza mdogo mdogo, hauwezi ku move on mbali na mazingira ya vishawishi ghafla, hilo haliwezekani lazima utarudi kule kule, lakini ukianza kwa kuyafahamu mazingira halisi ya vishawishi then ukaamua kwa dhati, naamini kila kitu kina wezekana, ni suala la kujua namna ya kuya-control mawazo yako tu.
Thank you 😊
 
KUZAMA SIYO KWENYE MAJI TU

Tunaposema mtu amezama, mara nyingi tunafikiria amezama kwenye mto au bahari

Lakini katika maisha, kuna kuzama kwa aina nyingi

Wengine husema, Nimezama kwenye penzi

Lakini pia kuna watu waliozama kwenye maovu na tabia ambazo zinawatesa kila siku

Kuna kuzama kwenye kamari

Kuna kuzama kwenye pombe

Kuna kuzama kwenye dawa za kulevya

Kuna kuzama kwenye rushwa

Kuna kuzama kwenye uzinzi au umalaya

Kuna kuzama kwenye marafiki wabaya

Kuna kuzama kwenye madeni, uongo, au hata tamaa ya pesa za haraka

Kinachoumiza zaidi ni kwamba wengi wanaozama huko si kwamba hawajui
Wanajitambua kabisa

Wanajua wanachokifanya si sahihi Wanajua wanapoteza muda, kipato, familia, afya na heshima
Lakini wanashindwa kujinasua

Ni kama mtu anayezama majini Anaona kila kitu, anapambana kwa nguvu zote, lakini kadiri anavyojitahidi ndivyo anavyozidi kuzama 😔

Anatamani kutoka, lakini haoni njia 😟

Ninaamini sababu mojawapo inayowafanya watu washindwe kuacha tabia mbaya ni mazingira wanayoishi

Ni vigumu kuacha pombe ukiwa kila siku upo kwenye vijiwe vya pombe

Ni vigumu kuacha kamari ukiwa umezungukwa na marafiki wanaokushawishi kucheza kila siku
(Wadau wa betting wanaelewa)

Wakati mwingine mazingira humshinda hata mtu mwenye nia ya kubadilika 💯

Lakini je, mazingira ndiyo sababu pekee?
Au kuna mambo mengine kama , kuiga, marafiki, msongo wa mawazo, au kukata tamaa, kujilinganisha , sifa na kutokukinahi?

Karibuuunii wana JF

Je, umewahi kuzama kwenye tabia fulani ukashindwa kutoka, ingawa ulitamani kuiacha?

Ni kitu gani kilikufanya ushindwe kujinasua?

Kama uliweza kuacha, ni mbinu gani ilikusaidia?

- Umewahi kumsaidia mtu kuacha tabia mbaya?

Je ukifanyaje🤔

Ukiweka comment hapa anaweza akapona mtu hata kama asiposema karibuuni guys


Chombezo : umewasha mshumaa au kibatari?

ShesRise_1🤚
Je inawezekana kuzama k⁸wenye juice ama uji?
 
Kuzama ni chumvini tu hivyo vingine ni viberenge fwata upepo.
Na ukute bumunda limetuna limeloa kichwa unaweza kuacha mle ndani ya Papa.
 
Unaogopa kufua 😁😁 imagine uzame kwenye tope mvua imenyesha lol aibuu
Ni changamoto kwakweli, mimi staki kwakweli kinachonishangaza ni kwamba kuna watu wanataka kuzama kwenye matope! Wakati mimi hata kusogelea hayo madimbwi yenye matope naogopa 🙌.
 
KUZAMA SIYO KWENYE MAJI TU

Tunaposema mtu amezama, mara nyingi tunafikiria amezama kwenye mto au bahari

Lakini katika maisha, kuna kuzama kwa aina nyingi

Wengine husema, Nimezama kwenye penzi

Lakini pia kuna watu waliozama kwenye maovu na tabia ambazo zinawatesa kila siku

Kuna kuzama kwenye kamari

Kuna kuzama kwenye pombe

Kuna kuzama kwenye dawa za kulevya

Kuna kuzama kwenye rushwa

Kuna kuzama kwenye uzinzi au umalaya

Kuna kuzama kwenye marafiki wabaya

Kuna kuzama kwenye madeni, uongo, au hata tamaa ya pesa za haraka

Kinachoumiza zaidi ni kwamba wengi wanaozama huko si kwamba hawajui
Wanajitambua kabisa

Wanajua wanachokifanya si sahihi Wanajua wanapoteza muda, kipato, familia, afya na heshima
Lakini wanashindwa kujinasua

Ni kama mtu anayezama majini Anaona kila kitu, anapambana kwa nguvu zote, lakini kadiri anavyojitahidi ndivyo anavyozidi kuzama 😔

Anatamani kutoka, lakini haoni njia 😟

Ninaamini sababu mojawapo inayowafanya watu washindwe kuacha tabia mbaya ni mazingira wanayoishi

Ni vigumu kuacha pombe ukiwa kila siku upo kwenye vijiwe vya pombe

Ni vigumu kuacha kamari ukiwa umezungukwa na marafiki wanaokushawishi kucheza kila siku
(Wadau wa betting wanaelewa)

Wakati mwingine mazingira humshinda hata mtu mwenye nia ya kubadilika 💯

Lakini je, mazingira ndiyo sababu pekee?
Au kuna mambo mengine kama , kuiga, marafiki, msongo wa mawazo, au kukata tamaa, kujilinganisha , sifa na kutokukinahi?

Karibuuunii wana JF

Je, umewahi kuzama kwenye tabia fulani ukashindwa kutoka, ingawa ulitamani kuiacha?

Ni kitu gani kilikufanya ushindwe kujinasua?

Kama uliweza kuacha, ni mbinu gani ilikusaidia?

- Umewahi kumsaidia mtu kuacha tabia mbaya?

Je ukifanyaje🤔

Ukiweka comment hapa anaweza akapona mtu hata kama asiposema karibuuni guys


Chombezo : umewasha mshumaa au kibatari?

ShesRise_1🤚
Unaandika kwa kuuma uma maneno, kwa kupindisha pindiiiisha!

Pale mkoa wa Kigoma, kwenye Wilaya ya uvinza kuna machimbo ya chumvi.

Sijui pakoje pale, watu wakienda kuchimba chumvi kienyeji bila zindiko, wengi husahau kurudia makwao.

Je 'kupotelea' sehemu kipumbaf pumbaf, siyo kuzamia huko?
 
Ni changamoto kwakweli, mimi staki kwakweli kinachonishangaza ni kwamba kuna watu wanataka kuzama kwenye matope! Wakati mimi hata kusogelea hayo madimbwi yenye matope naogopa 🙌.
Hongera mkuu watu wastaarabu wote duniani huogopa kusogelea au kujihusisha na uchafu
 
Back
Top Bottom