Kuzama sio kwenye maji tu

Kuzama sio kwenye maji tu

Nimekuelewa sana, nadhani maana yako ni kwamba mtu hawezi kutarajia matokeo mapya akiwa amekaa kwenye mazingira yale yale yanayotengeneza tatizo lile lile.

Labda mfano tutolee waraibu wa matumizi ya madawa ya kulevya, au vijana walio athirika na punyeto right?
Ndio upo sahihi
Sasa ku move on kwenda mbali na mazingira ya vishawishi hapo ndio kasheshe huanzia
 
Back
Top Bottom