Kuzaa bila ndoa.

Kuzaa bila ndoa.

Hivi ni wapi mnapata authority za kupangia watu maisha? Yani kufanya uzinzi kabla ya ndoa siyo Zambi ila kuzaa kabla ya ndoa ndio Zambi! Ujinga huu.

Na atoke mtu akamyoshee kidole Klyn kwa kuzaa nje ya ndoa wakati ndoa zenu njaa tupu, miaka 10 ya hujahi hata kwenda vacation angalau mikumi achilia vacation za Nassau anazokwenda Klyn.

kibongo bongo kawaida tu, mtu akibeba mimba kabla ya ndoa full mapicha picha hadi home anatimuliwa, ila akijifungua kila mtu anamtaka mtoto hata wazazi waliosusa utasikia "mlete mjukuu wangu' mjukuu my a%$$%%$
 
kibongo bongo kawaida tu, mtu akibeba mimba kabla ya ndoa full mapicha picha hadi home anatimuliwa, ila akijifungua kila mtu anamtaka mtoto hata wazazi waliosusa utasikia "mlete mjukuu wangu' mjukuu my a%$$%%$


wenyewe wadada wanaangalia masilahi tu hazai hivi hivi na mimba wanazitoa kwa sana ila akiona hapa kuna masilahi anakutegea na kuzaa..wadada wengi wanapotokea kutembea na kijana ambaye bado hajaoa hufikiri kwamba akimzalia ndio ataolewa na wengi wao hawaolewi wanaishia kutemwa...

pia akikutana na mume wa mtu akaona ana ka nyumba na gari baaaaaas atahakikisha kamzalia ili naye awe na uhakika wa kunuaika kupitia mtoto..

na pia wanatumia mtoto kama fimbo ya kumuwindia mwanaume na pia kumganda manake hapo utake usitake atakusumbua tu!!!!

yaani ni majanga mwisho wa siku wanaishia kulea wenyewe na kuwa single parent tu ambayo haimsaidii yeye mzazi wala mtoto..
 
Hapa naomba niwe msomaji tu....maana ingekuwa Bugeni wanasema unadiklei intarest kwanza (kama nimelikosea ilo neno naomba mtanisaidia wataalam wa Bunge) ha!ha!ha!
 
Siku hizi imekuwa kama fasheni wanawake kuzaa bila ndoa ili mradi tu mmekutana na mpenzi wako kimjini mjini tu hata kwao hupajui unambebea mimba huo ni ushamba na ulimbukeni,chunguzeni hata watu wa kuzaa nao mimi nahisi wanawake wa sasa hivi mmerogwa.

Ni uchafu wa mwisho


hamnazo kabisa wanawake wanaozaa kabla ya kuolewa

Laiti kama mngekua na uhalisia kama mlivyochangia hapa, dunia ingekua sehemu nzuri sana kuishi. Hili jambo inategemea unalitazama kwa mtazamo upi, kimaadili au kidini.

Kama ni kidini, nadhani iko wazi kabisa kwamba zinakataza sio tu kapata watoto kabla ya ndoa bali kuwa na mahusiano ya kimapenzi nje ya ndoa.

Na kama unachukua full package ya dini nadhani hautazini, hautadanganya, hautaiba, hautasengenya na utafanya yale dini inayoshauri.
 
na nyie acheni tabia ya kuingiza madudu yenu kinguvu, ukikataliwa acha sio unaforce mbaya zaidi hautumii hata CONDOM alafu iyo ndo 1st date sasa. KUWENI MAKINI VIJANA MTAZIDI KUANGAMIA DUNIA ISHACHAFUKA HII.
 
Ulimbukeni unajua circumstances zilizosababisha
Busy kujudge tu as if you are perfect

Kuna majitu ni majinga sana humu, hayajui hata ndani ya ndoa yanalea watoto sio wao halafu yanatembea kifuwa mbele oohh mya first born yuko Tusiime high school my second born yuko St Mary's and all blah blah.

Take it from me mimi nina marafiki zangu wa kikelakini si kimapenzi ukikaa nao utawaonea huruma wanaume wengine, imagine mtu ana mke na watoto watatu na wote siyo kwake, halafu akija hapa JF ndio hodari wa kupepeta mdomo Fusecki.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kuna majitu ni majinga sana humu, hayajui hata ndani ya ndoa yanalea watoto sio wao halafu yanatembea kifuwa mbele oohh mya first born yuko Tusiime high school my second born yuko St Mary's and all blah blah.

Take it from me mimi nina marafiki zangu wa kikelakini si kimapenzi ukikaa nao utawaonea huruma wanaume wengine, imagine mtu ana mke na watoto watatu na wote siyo kwake, halafu akija hapa JF ndio hodari wa kupepeta mdomo Fusecki.

Yesu ashawachanaga wa aina hii.....
Mtu anashindwa kufanya yake auone ufalme wa Mbinguni busy tu for nothing
 

mimba mtujaze nyie
tukizaa maneno,tukitoa shida
tukitupa lawama heeee,lipi jema!!
na mtt ni baraka wala si ulimbukeni!!
 

mimba mtujaze nyie
tukizaa maneno,tukitoa shida
tukitupa lawama heeee,lipi jema!!
na mtt ni baraka wala si ulimbukeni!!

Don't generise things, kuna wanaume majinga na wanaojitambuwa, kuna watu wengi ni wanafki wakubwa mahiri wa kufake maisha. Wanayoyaandika hapa na wanavyoishi ni tofaiti kabisa.
 
kUUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA NOMA UNAMCHUKUA MWANAMKE UNAOA MIAKA MITATU UNAGEGEDA HAKUNA MIMBA WALA KUTOKA KWA MIMBA NA NDO UMEOA THEN MKISTO UTAJUTA SO BORA KUZAA AU MIMBA BEFORE NINA JAMAA YANGU KAOA MWAKA WA TATU SASA HAKUNA KITU NA ALINICHEKA SANA NA KUNIITA MDHAMBI HUOGOPI MOTO OOO MAMBO KIBAO ILA SASA ANANIONA NILIFANYA LA MAANA
 
I'm not trying to justify nothing here....your values,beliefs n morals sio kanuni ya maisha ya kila mtu...usitake kila unachoamini kila mtu afanye kama wewe....think critically
na ukitaka kunipinga toa hoja sio mapovu


I won't waste my energy

Bottom line is we as human beings have a set of morals we have to follow,

Hata kama huna dini basi Hata Mila la kabila lako zinasemaje??
 
Back
Top Bottom