Kuzaa bila ndoa.

Kuzaa bila ndoa.

Hahahaaaaaaaa! Mie halinihusu hili la leo, NATUMIA NYOTA YA BLUE!!!!!!! Mpaka washaanza kunihisi MGUMBA!!!!!!! Kumbe muoa wa majukumu na kuingia labor kirejareja!

Ila bora ujitoe COPY mapemaaa maisha yenyewe mafupi haya!

ILA MWANAUME UNAVOINIZA BILA NDOM NA HUNA VASECTOMY UNATEGEMEA NINI???????????


Dada utamaliza ovaries hizo
 
me nadhani kikubwa hapa sio kuzaa nje ya ndoa manake ndoa ni utaratibu tu uliowekwa,muhimi ni mtoto au watoto wanaozaliwa wanapata malezi yanayostahili,labda kibaya ni pale wanapobeba mimba alafu wanaachana na mtoto kulelewa na mzazi mmoja,wazazi wetu wa zamani wengi walizaa bila ndoa
 
Siku hizi imekuwa kama fasheni wanawake kuzaa bila ndoa ili mradi tu mmekutana na mpenzi wako kimjini mjini tu hata kwao hupajui unambebea mimba huo ni ushamba na ulimbukeni,chunguzeni hata watu wa kuzaa nao mimi nahisi wanawake wa sasa hivi mmerogwa.
Hoja yako ni kuzaa baada ya ndoa au kujuana kwanza? Note, waliomo kwenye ndoa wengi "wanalia" pia!
 
kUUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA NOMA UNAMCHUKUA MWANAMKE UNAOA MIAKA MITATU UNAGEGEDA HAKUNA MIMBA WALA KUTOKA KWA MIMBA NA NDO UMEOA THEN MKISTO UTAJUTA SO BORA KUZAA AU MIMBA BEFORE NINA JAMAA YANGU KAOA MWAKA WA TATU SASA HAKUNA KITU NA ALINICHEKA SANA NA KUNIITA MDHAMBI HUOGOPI MOTO OOO MAMBO KIBAO ILA SASA ANANIONA NILIFANYA LA MAANA

Mtu ukijaliwa hekima mshukuru sana Mungu. Ikiwa umejaliwa kuwa na mtoto shukuru Mungu, na kama rafiki yako mwaka wa tatu hajapata mtoto kwa mke wake wa ndoa usihukumu ukamdhihaki ukadhani wewe mjanja zaidi, vyote hutoa Mungu. Vyovyote iwavyo, ikiwa unajiheshim na ni mtu umekuwa kwa maadili, kuzaa nje ya ndoa au kabla ya ndoa huwezi kuwa na point ya kuhalalisha hilo, ni KOSA. Anayejustify vinginevyo is just nonsense!
 
Aisee!! kumbe ndo maana mabint wanaabort aahaa ckujua.dah mmenifungua mawazo nina ujauzito nje ya ndoa sijazaa bado ngoja nifanye mchakato kutafuta docta niabort.wazo la kujitoa muhanga hata kuwa single parent kwa kusoma hii thread limeniisha kwa kweli.jf kweli inafungua bongo zilizolala
 
....Tatizo sio kuzaa nje ya ndoa, tena ndoa zenyewe za siku hizi majanga tupu!! Divorce imekuwa
Jambo la kawaida. Maana ya ndoa hakuna tena.

Mimi nadhani unapotaka kuzaa, make sure utaweza kulea huyo mtoto/watoto.
Siyo ulete kiumbe duniani halafu ukipe shida.
Ila ni vizuri watoto kulelewa na baba na mama kwa pamoja.
 
sio kila anayebeba mimba anapenda wengine hutokea bahati mbaya, kwa hiyo mnataka wawe wanatoa?

angelita;
Mbona huo ni utetezi wa kale saana tu. Hiyo bahati nzuri ilipitia wapi mpaka upate hiyo mimba? Kuzaa bila mpango ni utaahira wala sio ulimbukeni.
Mpaka uivue pichu yako, upande kitandani, aje kulee humwulizi hata soksi iko wapi, we kweli hamnazo. Unasema Bahati mbaya.
 
Ni ulimbukeni tu sio tu kwa wanawake bali hata hao wanaume wenye kusababisha hivyo...

Wanaume tatizo wapi wakati mimba imebebwa kwingine? Wanawake msidanganyike kwenye mimba loser ni mwanamke maana ndiye aiyebeba mimba na alionekana nayo mwanaume hana tatizo lolote mpaka aseme na anaweza kukana pia. Ndio maana mahusiano ya jinsia moja wasagaji wa kike huonekana kawaida au jamii haiwaonei kinyaa sana kwasababu wanawake hupokea tendo lakini kwa mashoga wa kiume ni nuksi sababu mwanaume anatakiwa kutoa tendo sio kupokea tendo. vivyo hivyo kwenye mimba mwanamke ni noumaaaa aliyepewa mimba kuliko mwanaume aliyempa mimba mwanamke

Na kitu chochote kipokeacho huwa kinatupiwa macho sana ndio maana wanawake wasijidanganye kushindana na wanaume kutembea na partiners wengi maana mwanamke anapoteza kadri anavyotembea na wanaume zaidi thamani yake kwisha na hilo wanawake wanalijua ndio maana hupunguza namba za waliolala nao hata kabla wala hajui kuhusu maoni haya niandikayo maana ile instinct ya kuzaliwa nayo inawaambia punguza namba maana hawatakuwa na thamani kwa boyfriend mpya
 
angelita;
Mbona huo ni utetezi wa kale saana tu. Hiyo bahati nzuri ilipitia wapi mpaka upate hiyo mimba? Kuzaa bila mpango ni utaahira wala sio ulimbukeni.
Mpaka uivue pichu yako, upande kitandani, aje kulee humwulizi hata soksi iko wapi, we kweli hamnazo. Unasema Bahati mbaya.

bora mmetufungua masikio tuliobeba mimba nje ya ndoa,solution ni abortion tu nirudi ubinti nizae Mungu akijalia kunipa ndoa.mmenifungua macho kwa kweli
 
Unaweza kuwa hujazaa nje ya ndoa lakini umetoa mimba nne nje ya ndoa kwahiyo wee ni balaa zaidi kuliko aliyezaa nje ya ndoa

Ubalaa wake watoka wapi? Mwanaume wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne. Wote anawaona wakija na misemo yao ya nakupenda kuliko mauti, yeye anakenua meno tu. Hapo pana mtu wa kuoa kweli hapo. Mi sioni. Huyo sio balaa ni kifo hicho, usikaribie hapo. Mtu anayeweza kuua kilichomo ndani yake kwa kukusudia kama alivyokiweka kwa kukusuduia, nakuambia kukua weye si kazi. Kumbuka alikukuta barabarani tu.
 
Siku hizi imekuwa kama fasheni wanawake kuzaa bila ndoa ili mradi tu mmekutana na mpenzi wako kimjini mjini tu hata kwao hupajui unambebea mimba huo ni ushamba na ulimbukeni,chunguzeni hata watu wa kuzaa nao mimi nahisi wanawake wa sasa hivi mmerogwa.

Kwani wewe ndoa unadhani ni ile tafsiri ya wasomi walivyoiandika? Hta maelewano yenu 2 yanaweza kuwa ndoa siyo lazima mpate vyeti, kwani ndoa za asili/kimila wanatoa vyeti? acheni uzungu na uarabu wenu.
 
Back
Top Bottom