Kuzaa bila ndoa.

Kuzaa bila ndoa.

kuzaa bila ndoa ni sawa na kazi bila mkataba!!

anything can happen at any time t!

life is not guaranteed there!

as if in marriage life is guaranteed..........damn im living in different planet!!

 
Mnapangia watu maisha?

Ndoa ni nini?

Kati ya mtu anayezaa bila ndoa lakini ana mahusiano exclusive na mzazi mwenzake, na mtu anayezaa katika ndoa lakini ana mahusiano mengine kila kona, nani ana afadhali?

Acheni kutaka ku impose standards zenu kwenye maisha ya watu wengine.

What's next? Kama dini/ system yako hairuhusu ndoa ya mitala utatukana ndoa zote za mitala?
 
Back
Top Bottom