Kuwepo kwa Derby ya Simba na Yanga

Kuwepo kwa Derby ya Simba na Yanga

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,602
Reaction score
10,143
Miongoni mwa Dery yenye mvuto africa The Watani wa Jadi Derby hakukutokea Bahati mbaya, kama zilivyo Derby nyingine duniani Derby huwa na visababishi. Kwamfano El clasico Hii derby imesababishwa na kukuzwa na , moja Siasa, Madrid na Catalonia , uwepo napia Uwezo wa Christin na Messi. , vile vile Derby ya Celtic na Rangers ilitokea kwa sababu za kidini, pia kuna sababu kama kigeografia n.k Je unajua Derby ya Simba na Yanga ilidababishwa na nini? Na imekuzwa na kitu gani?
Nitataja sababu kadhaa , legend mtaongezea
1. Eneo , zote zinatoka eneo moja hivyo kupelekea kuibuka kwa upinzani mkali
2. Siasa Ya rangi CCM VS Chadema (sio sababu ya moja kwa moja)
3. Wachezaji, Juma kaseja , Emanuel Okwi, Mbuyu Twite, mtaongeza wachezaji wengine, sababu hii nikuwa kunyang'anyana wachezaji au mchezaji mzuri kutoka.huku kwenda kule kunachochea uhasama
4. Matajiri GSM Vs MO , na hapa panaongeza upinzani mkali.

5. Matokeo

NB derby inaweza kufa kama hakuna vichochezi vya upinzani au inaweza kupoa kabisa. Hasa kama timu moja itakuwa mnyonge kwa muda mrefu
 
Mkuu sasa hivi simba na yanga siyo watani wa jadi tena, bali ni mahasimu wakubwa, na mpira wa bongo siyo burudani tena bali umekuwa vita
Uhasimu na utani nikitu kimoja , na uhasimu wenyewe ndio Derby ,,,
 
Miongoni mwa Dery yenye mvuto africa The Watani wa Jadi Derby hakukutokea Bahati mbaya, kama zilivyo Derby nyingine duniani Derby huwa na visababishi. Kwamfano El clasico Hii derby imesababishwa na kukuzwa na , moja Siasa, Madrid na Catalonia , uwepo napia Uwezo wa Christin na Messi. , vile vile Derby ya Celtic na Rangers ilitokea kwa sababu za kidini, pia kuna sababu kama kigeografia n.k Je unajua Derby ya Simba na Yanga ilidababishwa na nini? Na imekuzwa na kitu gani?
Nitataja sababu kadhaa , legend mtaongezea
1. Eneo , zote zinatoka eneo moja hivyo kupelekea kuibuka kwa upinzani mkali
2. Siasa Ya rangi CCM VS Chadema (sio sababu ya moja kwa moja)
3. Wachezaji, Juma kaseja , Emanuel Okwi, Mbuyu Twite, mtaongeza wachezaji wengine, sababu hii nikuwa kunyang'anyana wachezaji au mchezaji mzuri kutoka.huku kwenda kule kunachochea uhasama
4. Matajiri GSM Vs MO , na hapa panaongeza upinzani mkali.

5. Matokeo

NB derby inaweza kufa kama hakuna vichochezi vya upinzani au inaweza kupoa kabisa. Hasa kama timu moja itakuwa mnyonge kwa muda mrefu
Hakuna derby ya Barcelona na Madrid
 
Msikie huyu 🤣 kwahiyo El clasico ni kichwa chako?
Una akili ndogo sana

El Clasico ni match ya wababe wa kwenye hiyo michuano japo hili neno limezoeleka kwa timu za Barca vs Madrid. Yaan El Clasico yaan Kwa kingereza unaeza " THE CLASSIC MATCH " ...MECHI YA KIWANGO CHA JUU

Derby ni mechi ya timu za eneo moja kwenye ligi ya nchi husika mf Liver vs Everton au Yanga vs KCMC au Simba vs Azam au Juventus vs Torino

BARCA inatokea Catalunya na Real Madrid inatokea Madrid , hawawez kuwa na Derby maan hawatokei eneo moja ndani ya Hispania
 
Back
Top Bottom