Kwani ukiitaja hiyo benk watakufunga?Wakuu ,
Kumeibuka wizi wa kupitia ATM.
Hasa ile benki flani hivi.
Jamaa wanaiba in such a way hutopata notification SMS.
Msitumie ile njia ya kuweka ATM card juu ya mashine
Nakumbuka benki niliyokuwa natumia majuu. Ukitaka unaingia kwenye account yako ya netbank, una-set kuwa kadi isitumike kwenye ATM.Ukitaka kutoa fedha, unaingia kwenye account, una-set kiwango cha kutoa, ukishatoa unarudisha tena kadi isitoe fedha. Ni feature nzuri sana ya security kama mtu atachukuwa kadi yako au ku-forge. Pia unaweza kuweka matumizi kwa siku yasizidi kiasi fulani, au utoaji usizidi kiasi fulani.Wakuu ,
Kumeibuka wizi wa kupitia ATM.
Hasa ile benki flani hivi.
Jamaa wanaiba in such a way hutopata notification SMS.
Msitumie ile njia ya kuweka ATM card juu ya mashine
Mkuu ingekuwa vema huu ushauri wako uwapelekee lumumba wenzako huko ili msiibiane mibuku 7 yenu.Wakuu ,
Kumeibuka wizi wa kupitia ATM.
Hasa ile benki flani hivi.
Jamaa wanaiba in such a way hutopata notification SMS.
Msitumie ile njia ya kuweka ATM card juu ya mashine
Benki ile ya watumishi wa umma, niliwahi kukuta wamehamisha hela kinyemela.Kama unataka taarifa ifike effectively,huna haja ya kuficha jina la Benki
Hiyo simbanking nayo mbona naskia kuna baadhi ya mawakala nao wanafanya uhuni wanatoa hela mara 2?Umetutisha mkuu!
Maana kwenye chumba cha ATM kuna CCTV kwa juu,sasa sijui ukiweka Kadi wanasoma Account no.na Nywila.
Vinginevyo ni kutumia Sim banking.