Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,995
- 22,195
wakuu kuna kisa cha ukweli mke wa rafiki yangu kalala na mwanaume amekutana nae facebook tena kwa aibu kubwa mana wameanza kuchat ndani ya mwezi mmoja tayari wakasex na kibaya zaidi huyu demu mke wa rafiki yangu alikua na mimba ya miezi 5!!!...kiukweli huyu dada kafanya tukio la aibu sana mana hata mume wake anashindwa kumwelewa mtu mzima kuwa na tabia chafu kiasi hiki...
Ukiangalia watu walioko facebook hakuna kitu cha maana wanachoweza kujadili kwa maana ya issues!!! Pale watu wanaandika pumba tu mara nimechoka,naumwa,nina hasira na mambo mengine meengi ya kienyeji..
Kama mkeo ama mumeo yuko facebook kuwa makini sana...
mkuu kwanza nawapa pole sijui hongera kwa yaliaomkuta maana jamaa ameamua kuongezea mashikio na pua unajua mwezi wa tano ndio muda wake huo.....sasa labda akaona pua ya jamaa iko kama ya babu yake wacha asitoe kituko cha mwaka ajazie wka mshikaji
pili
nafikiria huyo jamaa yako kaoa mlupo tena wa nguvu na tatizo kubwa vijana wetu wa kileeo mnakimbilia wanawake bomba amjui ametokea wapi ana maisha gani..hayo ndio mapito lakini ukija kuangalia vizuri rusimlalamikie tu huyo dad mwambie afanye marping ya wakwe zake lazima kuna kufumaniana sasa hii ni fundisho kwa mnaoingia kanisan jumamosi na jumapili na wenzangu wa ijumaa ..swala sio tu demu anarembea mnakimbizana nae...mpe pole sana
tatu
facebook aina matatizo mkuu kabisa kabisa kabisa ..yaani hiyo mutu yako iko na problema kuba tuu haata angekuja jf wangemfukunyua tu kwa style yake uliosema la maana baba
chukua chako mapema mwambie aanze amefuga pepo tena makata