adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,951
- 23,093
Status ni muhimu sana watu wengine hutumia kama fursa kujitangaza kibiashara ,kuelimishana ,kuburudish n.k ila mimi kea sasa siweki kila siku kama zamani na kitu ambacho sipendi kwenye status mtu kuwa na Kazi ya kujipost kila wakati na kupost wasanii tu .