Kuwa single raha sana

Kuwa single raha sana

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
Ni visiku vichache vimepita tangu niachane na alienipenda kutokana na sababu nilizowahi kuziainisha,

Ila nafurahia maisha ya kuwa single kwakua unaishi unavotaka na hakuna kufikiria unaibiwa wala nini,single ni raha sana jamani unakua huru kufanya yako kwa muda unaojua wewe,weekend ukiamua unatoka au ukiamua autoki.

Maisha haya ni matamu sana na najuta why sikugundua mapema...
 
me nna rafiki yangu yuko single anataka sana kuoelwa, naomba nimuombee nafasi kwako
 
mrsleo asee mwambie nafas ipo ila nikiwa single ni bora zaidi
 
Last edited by a moderator:
Jembeafrika kama kuwa single n kuishiwa haya ntakua nimeishiwa
barcelonaa karibu tule raha
 
Last edited by a moderator:
Kua Single kuna raha yake lakini inafikia mda unasema sasa basi,kwahiyo mda ukifika utasema basi sasa nataka niwe na mwenzangu...
 
Kama vipi kikate na kifanyio kabisa, halafu ukitupe mbali kiwe chakula ya kunguru.
 
Unajifariji wewe. Kuomba visa ya kutoka na washkaji kuna raha yake. Unabembeleza afu unaruhusiwa, unaulizwa kama uko ok unadeka kidogo maisha yanaenda. Kweli utamu wa pipi mate yako.
 
Duuuh... nategemea siku si nyingi utarudi tena ukilalamika kuwa upweke (lonely) utokanao na kuwa single unakuumiza. life fact ni kuwa huwezi jua uzuri na umuhimu wa kitu mpaka ukikose. hata majambazi wana umuhimu wao, ukiwakosa ndio utagundua.
 
sasa which is which ndugu yangu, nimwambie nafasi ipo au bora kuwa single?

Nani kasema kuwa single ni raha?
Mwenyewe si umeona umemuekea kamtego ka panya tu, anaanza kujichanganya!
Huyu kashapewa kibuti, kaja hapa aponze maumivu na single fekero wa JF!
...
Chezea kuambiwa 'baby nimekumith', 'nakupenda', 'nnagenye' etc!
afu raha nyengine unakula mbunye bila ndomu!
...
Hapana chezea! Binadamu yoyote, mkubwa na mzima akafurahia usingle!
 
Uckute umeachwa kwa mapungufu yako afu unajishaua kuwa single raha

Kuja nikuonjeshe raja ya kupendwa
 
kiss me
ha ha ha ha ha
watu8 nkikata ntakojoa na nin acha izo
 
Last edited by a moderator:
Sema unajipa likizo ya faraja baada ya kuumizwa kichwa sana, ila asikuambie mtu hakuna maisha ya upweke yenye raha ndani yake
 
Nani kasema kuwa single ni raha?
Mwenyewe si umeona umemuekea kamtego ka panya tu, anaanza kujichanganya!
Huyu kashapewa kibuti, kaja hapa aponze maumivu na single fekero wa JF!
...
Chezea kuambiwa 'baby nimekumith', 'nakupenda', 'nnagenye' etc!
afu raha nyengine unakula mbunye bila ndomu!
...
Hapana chezea! Binadamu yoyote, mkubwa na mzima akafurahia usingle!



hahahahhahaha watu wa humu mna mambo siwawezi duh, umenichekesha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom