Kuwa single kupita kiasi

Kuwa single kupita kiasi

Wewe mumeo unampendea pesa?

Honestly speaking napenda pesa zangu mwenyewe natafuta Kwa ajili yangu binafsi sifikirii kuwazia pesa ya mtu.pesa ya mtu inamashart sana Sasa natafuta pesa Ili iwaje?? Niwe ombaomba Tena?
Ni vile hujakutana na hao wasichana ila asilimia 95 wanaume wanahonga parefu sana watu watakuja humu kujitutumua vifua mbele ila wanahonga vibaya mnooo
 
Honestly speaking napenda pesa zangu mwenyewe natafuta Kwa ajili yangu binafsi sifikirii kuwazia pesa ya mtu.pesa ya mtu inamashart sana Sasa natafuta pesa Ili iwaje?? Niwe ombaomba Tena?
Ni vile hujakutana na hao wasichana ila asilimia 95 wanaume wanahonga parefu sana watu watakuja humu kujitutumua vifua mbele ila wanahonga vibaya mnooo
Hujanijibu swali langu. Navyojua mwanaume akipenda kweli hangoji kuombwa pesa huwa anatambua cha kufanya. Mimi mwanamke wangu sijui ni lini aliwahi kuniomba pesa, nishasahau ila nampa sana tu.
 
Kwema wakuu

Nisiwachoshe nasumbuliwa na upweke kupita kiasi kila demu nnayemtongoza ananikataa tofauti na kipindi nna miaka 22 hadi 24 ambapo walikuwa hawachomoi na mimi ni kijana msafi mtanashati now nna miaka 27 nahisi ni kama nimelogwa wakuu mwenye msaada wowote kimawazo au tiba atakuwa amenisaidia sana

Shukrani
Inabidi uanze kuliwa wewe, kama hawakutaki tafuta mabasha wawe wanakukanda ili na wewe uwaringishie hao wadada waliokukataa kwamba na wewe ni mrembo zaidi Yao na unaliwa kama wao
 
Honestly speaking napenda pesa zangu mwenyewe natafuta Kwa ajili yangu binafsi sifikirii kuwazia pesa ya mtu.pesa ya mtu inamashart sana Sasa natafuta pesa Ili iwaje?? Niwe ombaomba Tena?
Ni vile hujakutana na hao wasichana ila asilimia 95 wanaume wanahonga parefu sana watu watakuja humu kujitutumua vifua mbele ila wanahonga vibaya mnooo
Na usikubali pesa za watu kirahisi, utafirwa dada, na usiambulie kitu zaidi ya maumivu ya mkundu na kupoteza marinda jumlisha maradhi
 
Dogo, tafuta pesa, ukipata maendeleo, yaani una, savings, pagala, gari, kazi au biz nzuri, basi utashangaa watakavyokuja kwa kasi ya 5G! UTAWAKIMBIA WEWE!
TRUST US...
 
Back
Top Bottom