Kuwa single kupita kiasi

Kuwa single kupita kiasi

Hii sio kweli, ni namna ya kuhalalisha haramu iwe halali
Wanawake wa Sasa wanasura mbili kabla ya kumuoa sura yake ni ya kondoo mtupu ukishaoa ndo yalee fisi mla watu nilimsikia dada mmoja kwenye group la whatsap anasema yaan huyu anajeuri sana ngoja anioe nitamuonyesha Sasa nikajiuliza akimuoa atafanya nin😳
 
Wanawake wa Sasa wanasura mbili kabla ya kumuoa sura yake ni ya kondoo mtupu ukishaoa ndo yalee fisi mla watu nilimsikia dada mmoja kwenye group la whatsap anasema yaan huyu anajeuri sana ngoja anioe nitamuonyesha Sasa nikajiuliza akimuoa atafanya nin😳
Kwani akishamwoa atafanya nini? Kwani akiingia kwenye kuolewa kuna kinga gani ya kumfanya asiachwe baada ya kuonyesha tabia yake mbaya ?
 
Kuna wanaume wako kama mazoba utasema yamewekewa dawa kupelekeshwa halafu hafany maamuzi yoyote
Ina kuna wanawake pia hata akiomba pesa unaona kawaida tu , wapo wanawake wanakupa mipango , anaomba pesa kidogo kaona mradi fulani labda wa kufungua mgahawa wa chakula , na ukija fuatilia unaona kweli ile pesa umempatia imezalishwa , hao ndio wanawake sahihi.
 
Ina kuna wanawake pia hata akiomba pesa unaona kawaida tu , wapo wanawake wanakupa mipango , anaomba pesa kidogo kaona mradi fulani labda wa kufungua mgahawa wa chakula , na ukija fuatilia unaona kweli ile pesa umempatia imezalishwa , hao ndio wanawake sahihi.
Wanapatikana wap Kwa Sasa 😄 pesa itaishia Kwa Les wigs
Mashindano yasiyo na msingi
 
Back
Top Bottom