Lambo jini
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 235
- 314
Kwema wakuu
Nisiwachoshe nasumbuliwa na upweke kupita kiasi kila demu nnayemtongoza ananikataa tofauti na kipindi nna miaka 22 hadi 24 ambapo walikuwa hawachomoi na mimi ni kijana msafi mtanashati now nna miaka 27 nahisi ni kama nimelogwa wakuu mwenye msaada wowote kimawazo au tiba atakuwa amenisaidia sana
Shukrani
Nisiwachoshe nasumbuliwa na upweke kupita kiasi kila demu nnayemtongoza ananikataa tofauti na kipindi nna miaka 22 hadi 24 ambapo walikuwa hawachomoi na mimi ni kijana msafi mtanashati now nna miaka 27 nahisi ni kama nimelogwa wakuu mwenye msaada wowote kimawazo au tiba atakuwa amenisaidia sana
Shukrani