Kuwa na mwanamke askari ni shida

Hahaaaa!!

Kanuni ni moja tuu.
Kumfanya mwanamke akupende na kuteka hisia zake.

Kama hujateka hisia zake na moyo wake amini Amin nakuambia hata mtoto wa Sekondari atakusumbua.

Naelewa unachozungumzia mkuu sema ninachojaribu kueleza ni namna ya kuuteka moyo wa mtoto wa kike. Baada ya kuuteka hawezi kukusumbua.

Unaweza kuvaa hata sare zao. Unaweza ukamwambia akupe hata siri za polisi. Unaweza ukachukua hata silaha yake.

Usihangaike na mwanamke hutamuweza na atakusumbua tuu. Bali hangaika kuuteka moyo wake. Jaribu kutafuta kipi moyo wake unakipenda na si kipi mdomo wake na macho yake yanasema au yanataka.

Kujua moyo wa mwanamke unataka nini ni zaidi ya kuchukua Phd. Ni kazi ngumu sema ukiiweza basi dunia yote ni yako
Kabisa na kwa hili inabidi alshabab wapate ajira ya kuteka
 
Ukichelewa kurudi nyumbani ni shida,ukiomba unyumba unapewa kwa manyanyaso.Ukikutwa unaongea na mwanamke mwingine hata kama ni mambo ya kawaida unaweza kulala Lock up.Kila kitu unaelezwa kwa ukali kama vile yeye ndio kidume.Na mengine kibao yasiyokuwa ya kistaarabu.Haya ni malalamiko ya jirani yangu ambaye amekuwa akiishi kwa mashaka na mkewe ambaye ni Askari polisi.Hivi ni kweli wanawake ambao wanafanya kazi hii huwa hawana huruma kwa wenzi wao?
Ananinyimaje unyumba mke wangu?
 
Hahaaaa!!

Kanuni ni moja tuu.
Kumfanya mwanamke akupende na kuteka hisia zake.

Kama hujateka hisia zake na moyo wake amini Amin nakuambia hata mtoto wa Sekondari atakusumbua.

Naelewa unachozungumzia mkuu sema ninachojaribu kueleza ni namna ya kuuteka moyo wa mtoto wa kike. Baada ya kuuteka hawezi kukusumbua.

Unaweza kuvaa hata sare zao. Unaweza ukamwambia akupe hata siri za polisi. Unaweza ukachukua hata silaha yake.

Usihangaike na mwanamke hutamuweza na atakusumbua tuu. Bali hangaika kuuteka moyo wake. Jaribu kutafuta kipi moyo wake unakipenda na si kipi mdomo wake na macho yake yanasema au yanataka.

Kujua moyo wa mwanamke unataka nini ni zaidi ya kuchukua Phd. Ni kazi ngumu sema ukiiweza basi dunia yote ni yako
Huyu ni mojawapo wa madaktari nguli na ma phylosophy wachache tulionao hapa Tz



My take
Tuwalinde na kuwadhamini
 
Ukichelewa kurudi nyumbani ni shida,ukiomba unyumba unapewa kwa manyanyaso. Ukikutwa unaongea na mwanamke mwingine hata kama ni mambo ya kawaida unaweza kulala Lock up.Kila kitu unaelezwa kwa ukali kama vile yeye ndio kidume..
Hahahaha...
Kwani umefungwa nyororo mkuu?
Piga chini chap😁
 
Ukichelewa kurudi nyumbani ni shida,ukiomba unyumba unapewa kwa manyanyaso.Ukikutwa unaongea na mwanamke mwingine hata kama ni mambo ya kawaida unaweza kulala Lock up.Kila kitu unaelezwa kwa ukali kama vile yeye ndio kidume.Na mengine kibao yasiyokuwa ya kistaarabu.Haya ni malalamiko ya jirani yangu ambaye amekuwa akiishi kwa mashaka na mkewe ambaye ni Askari polisi.Hivi ni kweli wanawake ambao wanafanya kazi hii huwa hawana huruma kwa wenzi wao?
Hizi tabia za wanawake wengi wenye ajira
Walimu
Wauguzi
Makarani
Wanasheria nk
 
Tofauti ipo lakini sio sana.
Nmekuambia ni sawa na Daktari na Nesi.

Ningemhusisha Mwalimu au Enjinia ndio ungesema tofauti mno.
Kuna mafunzo wanashare, mbinu n.k.

Turudi kwenye Mada.
Mwanamke ni mwanamke hata awe Rais sembuse Polisi.

Sema inategemea na nature ya mwanaume. Kama mwanaume ni dhaifu ndio matokeo yake huwa haya.

Ni sawa na wale wanaosema mwanamke msomo au mwanasheria anasumbua kumbe ni Mtazamo mtu aliyejiwekea

Ubishi unaotokana na kutokuwa na uzoefu. Wape fursa wenye uzoefu nao, u ajifanya mjuaji hata kuoa bado?
 
Hivi unadhania utaishi nao km malaika weee!!......siku ukimkorofisha ndo utajua mke mjeda siyo kabisaaa! atakutia vitasaaaaaa vya kipolisi hutaamini!!...na hutashitaki popote!!

wala hutoroki!! ukiwaza tu kutoroka amesha kujua! .....unachowaza! yaani usijidanganye eti utamtoroka wakti una siri za jeshi! kwanza weye ni sehemu ya siri hizo za jamhuri kila uendako unachunguzwa na watu km 10 hivi!

umeshaona polisi au mjeda kaenda nje kusoma km Raia?? sasa wewe ndo jamuhuri ukiingia huko kuoa au kuolewa ni umeingia! mkikorofishana ni chagua moja muelewane uishi nae au ukatunzwe kambini ya siri!

ukioa mjeda/polisi ni umeoa cheo na siri za nchi yooote huchomokimo!..kubali tu upigweeee chumbani siri zisitoke nje! na km ukijifanya mjanja sana mnahamishiwa kuishi kambini huko km Lugalo paleee! Mp kil saa ana patrol!
 
Back
Top Bottom