Siku akikugundua una dili fek, au kajinai flani, hakukamati, ila atakuonyesha tayar anajulijua, na hana noma, kitakachofuata sasa ni mizinga ya buku 2, 5 ,10 na mikopo bila kurejesha, akiona umeanza kumchoka, sasa anakuuza kwa police wenzieYupo WP mmoja hapa wa ghasia tumepanga nae duuuh ngoja nipunguze mazoea
Hana nafasi ya kujiua mambo yanguSiku akikugundua una dili fek, au kajinai flani, hakukamati, ila atakuonyesha tayar anajulijua, na hana noma, kitakachofuata sasa ni mizinga ya buku 2, 5 ,10 na mikopo bila kurejesha, akiona umeanza kumchoka, sasa anakuuza kwa police wenzie
Dah.. Labda kama analala na Magwanda yake ya kaziTafuta askari polisi mkuu kisha utupe mrejesho.
Hana nafas??? Ushaingiza urafk na mapenz au ndoa kabsa police asijue, na kasomea unafk Wa kipelelezi, cheza naye akufyatue, police Aksha kupa kisogo tu imekula kwako! Maswala la sijui rafk, mapenz, utaijua mwenyewe!Hana nafasi ya kujiua mambo yangu
Sio wote wanaoweza kufanya yale ninayoyafanya nikikwambia kuwa hana nafasi basi ujue huo ni ukweli mbona tunawamega sana hao watuHana nafas??? Ushaingiza urafk na mapenz au ndoa kabsa police asijue, na kasomea unafk Wa kipelelezi, cheza naye akufyatue, police Aksha kupa kisogo tu imekula kwako! Maswala la sijui rafk, mapenz, utaijua mwenyewe!
Siku akikugundua una dili fek, au kajinai flani, hakukamati, ila atakuonyesha tayar anajulijua, na hana noma, kitakachofuata sasa ni mizinga ya buku 2, 5 ,10 na mikopo bila kurejesha, akiona umeanza kumchoka, sasa anakuuza kwa police wenzie
Toka nianze kufatilia mabishano yenu.Hahaaaa!!
Kanuni ni moja tuu.
Kumfanya mwanamke akupende na kuteka hisia zake.
Kama hujateka hisia zake na moyo wake amini Amin nakuambia hata mtoto wa Sekondari atakusumbua.
Naelewa unachozungumzia mkuu sema ninachojaribu kueleza ni namna ya kuuteka moyo wa mtoto wa kike. Baada ya kuuteka hawezi kukusumbua.
Unaweza kuvaa hata sare zao. Unaweza ukamwambia akupe hata siri za polisi. Unaweza ukachukua hata silaha yake.
Usihangaike na mwanamke hutamuweza na atakusumbua tuu. Bali hangaika kuuteka moyo wake. Jaribu kutafuta kipi moyo wake unakipenda na si kipi mdomo wake na macho yake yanasema au yanataka.
Kujua moyo wa mwanamke unataka nini ni zaidi ya kuchukua Phd. Ni kazi ngumu sema ukiiweza basi dunia yote ni yako
Karibu sana Mkuu.Toka nianze kufatilia mabishano yenu.
Hapo sasa Ndio Nimepata point yako.
Big up kiongoziii.
Mimi Nimekuelewa Sana sijui wengine.