Kuwa mpweke yataka moyo

Kuwa mpweke yataka moyo

Jitahidi kujiweka katika mazingira ya kuonekana mwanamke,jiweke smart,vaa magauni ya heshima au yavitenge na yawe na mvuto,suka nywele au punguza ziwe za wastani na ziwe safi,lugha yako ya kuongea iwe ya upole na ya kuvutia....na usipende kutumia lugha ya ukali.....tembelea maeneo unayotaka kumpata mume
 
It's part of the package. Anataka a man of her own... amemiss romance za kuamka pamoja... play silly games like pillow fights.

She is not looking for a one night stand na ndo maana anachagua sana. Wenye biashara zao hawachagui wanaagalia hela tu. 😔😔😔


Mi nimemsoma. Ukimjudge kivingine ushafeli.

"Akimjudge kivingine ashafeli".

How sure you are kwamba ulivyomsoma wewe ndiyo sahihi to the maximum?

-Kaveli-
 
Why should I worry about what anyone else thinks?

My question remains unaddressed, hence intact. Jibu swali... How sure you are your judgement is correct at 100%?

Everyone is entitled to his/her opinion. Where do you get such 'bright mind authority' ya kuona kwamba ulivyojudge wewe ndiyo sahihi, na yeyote atakayejudge kivingine atafail?

-Kaveli-
 
Upweke ni mtihani Sana usimbe takukute
Sio kwamba utongozi au utongozwiii rahashaaa inachotokea unakosa wa kufanana nae


Sijui lini nitapata wa kurushiana mito chumbani
hivi maana halisi ya upweke nini?? maana mpaka leo hii nahisi huwa sielewi maana yake
 
Siri nzito mkuu, tukijua tu itakuwa mwisho wa jeuri yao,, ukiona wanawake wamekaa sehem jua wanakumbushiana yale maagano yaendelee kizaz hadi kizaz

Ila lile joka naskia ndo limewaingia ktk ubongo medula oblangata
Mkuu Itabidi wanaume tumtafute joka atupe mautundu maana theory ya kujua mwanamke tumeikosa mpaka leo
 
Demiss mbona unatufanyia hivyo lakini? Nini Sasa unamkatisha tamaa mwenzio? Acha bwana kutuwekea kauzibe. By the way unaowaona mtaani ndiyo haohao walioko JF
Hahahaha ngoja wakamfurahishee bora upambane na wa mtaan atakuja tu wa kufanana naye.
 
Siri nzito mkuu, tukijua tu itakuwa mwisho wa jeuri yao,, ukiona wanawake wamekaa sehem jua wanakumbushiana yale maagano yaendelee kizaz hadi kizaz

Ila lile joka naskia ndo limewaingia ktk ubongo medula oblangata

Wapo hapa kundi kubwa, naona wanasema ni vikoba ngoja nitume snitch, hahahaa
 
Back
Top Bottom