Kuwa mpweke yataka moyo

Kuwa mpweke yataka moyo

Hahahaha ngoja wakamfurahishee bora upambane na wa mtaan atakuja tu wa kufanana naye.
akajui kua mapenz ayaanzi tu paap mkapendana wote for the first time cha msingi atakaye mpata avumiliane naye mpaka itakapo fikia stage kua wamezoeana then waanze kurushiana mito chumbani ila akikurupuka uku jf watakavua bikini tu masikini
 
😂😂😂😂😂kumbe kurushiana mito KATUZUGA 🤣🤣🤣🤣😜🤣
It's part of the package. Anataka a man of her own... amemiss romance za kuamka pamoja... play silly games like pillow fights.

She is not looking for a one night stand na ndo maana anachagua sana. Wenye biashara zao hawachagui wanaagalia hela tu. 😔😔😔


Mi nimemsoma. Ukimjudge kivingine ushafeli.
 
Wewe tena nilikuona sehemu usiende pm kwa mdada wa watu utamtmb na umuachee
Huyu tunanyoana hadi vuz*

Yaan namsafisha kotekote hadi kwapani anabaki kama alivozaliwa

Punguza mashambulizi basi[emoji3]
 
Pole sana. Lakini upweke unaokutawala ni mind set yako. Jifunze kuwa na furaha au kufanya vitu vitokee hata kama uko peke ako.

Mbona kuna mambo mengi ya kufanya na kukuondoa kwenye lindi la upweke kama ukiamua kubadilisha mtazamo.

Usipende sana kusikiliza maneno ya watu. Funga vioo. Ingawa najua niliyoyaongea yote ni magumu. Lakini kumbuka tunaishi mara moja. Anza kujifurahisha mwenyewe kabla ya kuwafurahisha watu ama kusubiri atokee mtu wa kukufurahisha
 
Pole sana. Lakini upweke unaokutawala ni mind set yako. Jifunze kuwa na furaha au kufanya vitu vitokee hata kama uko peke ako.

Mbona kuna mambo mengi ya kufanya na kukuondoa kwenye lindi la upweke kama ukiamua kubadilisha mtazamo.

Usipende sana kusikiliza maneno ya watu. Funga vioo. Ingawa najua niliyoyaongea yote ni magumu. Lakini kumbuka tunaishi mara moja. Anza kujifurahisha mwenyewe kabla ya kuwafurahisha watu ama kusubiri atokee mtu wa kukufurahisha
Beautiful sound advice young lady.
 
Labda unachagua sana.

Standards ni muhimu kuwa nazo but usiwe too rigid.

Of course upweke unataka moyo but you know what is worse ? Being in a relationship where you are in so deep and your partner is just toying with you using you, wasting your time.
Sijaelewa kitu
 
Back
Top Bottom