Kuwa mpweke yataka moyo

Kuwa mpweke yataka moyo

Upweke ni mtihani Sana usimbe takukute
Sio kwamba utongozi au utongozwiii rahashaaa inachotokea unakosa wa kufanana nae


Sijui lini nitapata wa kurushiana mito chumbani

ukipata wa kufanana na wewe itakuwa siyo poa .pata msiyefanana.ndiyo atakaye leta furaha.maana wewe huna furaha ukipta asiye na furaha mwenzio itakuwaje
 
Nafanana na wew kabisa sio tuu kurushiana mito tutakuwa tunacheza hadi mzki,kutaniana,kukuita kwa jina la babaako,kukubeba mgongoni,kutekana na bundiki za kitoy kama roma,kujificha mpka unipate kama vile nimetekwa na wasiofahamika, wew ni kama tenker la mafuta njoo uniangukie uniunguze moyo wangu niishe niteketee
 
Nafanana na wew kabisa sio tuu kurushiana mito tutakuwa tunacheza hadi mzki,kutaniana,kukuita kwa jina la babaako,kukubeba mgongoni,kutekana na bundiki za kitoy kama roma,kujificha mpka unipate kama vile nimetekwa na wasiofahamika, wew ni kama tenker la mafuta njoo uniangukie uniunguze moyo wangu niishe niteketee
Kudadeki. Ashapata kwa kufanana nae
 
Achaaa asipopokea simu unaugua ghafla
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna ka mchezo kamoja hivi nakapendaga mno"tunaenda baharini saa moja moja usiku hasa mwezi ukianza kuwa mkubwa..... Basi vile unachomoza unapiga baharini Kunakuwa na namna fulani amazing sana.... Hapo nshawekwa mapajani naulizwa "bby unajisikiaje ukiona vile pale" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Halafu taratibu nanong'onezwa sikioni "I love you baby,"........ Aliyegundua mapenzi apewe kombe la dunia tu[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna ka mchezo kamoja hivi nakapendaga mno"tunaenda baharini saa moja moja usiku hasa mwezi ukianza kuwa mkubwa..... Basi vile unachomoza unapiga baharini Kunakuwa na namna fulani amazing sana.... Hapo nshawekwa mapajani naulizwa "bby unajisikiaje ukiona vile pale" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Halafu taratibu nanong'onezwa sikioni "I love you baby,"........ Aliyegundua mapenzi apewe kombe la dunia tu[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
[emoji12] ila pele limempata mkunaji
 
Back
Top Bottom