Kuwa mpweke yataka moyo

Kuwa mpweke yataka moyo

Upweke ni mtihani Sana usimbe takukute
Sio kwamba utongozi au utongozwiii rahashaaa inachotokea unakosa wa kufanana nae


Sijui lini nitapata wa kurushiana mito chumbani
Mkuu naomba tutoane upweke
 
Upweke ni mtihani Sana usimbe takukute
Sio kwamba utongozi au utongozwiii rahashaaa inachotokea unakosa wa kufanana nae


Sijui lini nitapata wa kurushiana mito chumbani
Be specific unataka wa namna gani maana naweza kuwa huyo unaemtaka afu sijijui come see me
 
Em omba umpate yule aliyekuachia laana ya mahusiano mkae mezani mjadili

Kuna mtu yuko mahali anakusubiri
Upweke ni mtihani Sana usimbe takukute
Sio kwamba utongozi au utongozwiii rahashaaa inachotokea unakosa wa kufanana nae


Sijui lini nitapata wa kurushiana mito chumbani
 
Pole sana. Lakini upweke unaokutawala ni mind set yako. Jifunze kuwa na furaha au kufanya vitu vitokee hata kama uko peke ako.

Mbona kuna mambo mengi ya kufanya na kukuondoa kwenye lindi la upweke kama ukiamua kubadilisha mtazamo.

Usipende sana kusikiliza maneno ya watu. Funga vioo. Ingawa najua niliyoyaongea yote ni magumu. Lakini kumbuka tunaishi mara moja. Anza kujifurahisha mwenyewe kabla ya kuwafurahisha watu ama kusubiri atokee mtu wa kukufurahisha
Self love
FB_IMG_1566023711032.jpeg
 
Nasikia kuna wanaume wema mbona mm siwaoni
akajui kua mapenz ayaanzi tu paap mkapendana wote for the first time cha msingi atakaye mpata avumiliane naye mpaka itakapo fikia stage kua wamezoeana then waanze kurushiana mito chumbani ila akikurupuka uku jf watakavua bikini tu masikini
 
Back
Top Bottom