Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,162
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ThubutuuuuuMi na mabinti damdam
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ThubutuuuuuMi na mabinti damdam
Good men are already taken.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna ka mchezo kamoja hivi nakapendaga mno"tunaenda baharini saa moja moja usiku hasa mwezi ukianza kuwa mkubwa..... Basi vile unachomoza unapiga baharini Kunakuwa na namna fulani amazing sana.... Hapo nshawekwa mapajani naulizwa "bby unajisikiaje ukiona vile pale" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Halafu taratibu nanong'onezwa sikioni "I love you baby,"........ Aliyegundua mapenzi apewe kombe la dunia tu[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Hahaha hahaha sasa huyu mpweke tunamsaidiaje
Alikuja ukamwambia we kua rafiki yangu tuNasikia kuna wanaume wema mbona mm siwaoni
Dah 😝[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Thubutuuuuu
Mapema sanaaaa, nguvu mojaSana tunamkalisha chini
Venye kuonyesha unajali sana uvute totoz[emoji13][emoji13][emoji12]
Unataka umsage mwenzio
Nenda kwa sharuk khan...Upweke ni mtihani Sana usimbe takukute
Sio kwamba utongozi au utongozwiii rahashaaa inachotokea unakosa wa kufanana nae
Sijui lini nitapata wa kurushiana mito chumbani
Bila shaka hajuvuka 25 huyo...katoto cha watu kana mapenzi ya kizungu hahaha eti kurushiana mito chumbani
Watu kama wewe utakuta ulikuwa na boyfriend wake kwenye future na wewe tena muoaji kabisa,halafu ukadanganyika ukamuacha/ukamzingua.Upweke ni mtihani Sana usimbe takukute
Sio kwamba utongozi au utongozwiii rahashaaa inachotokea unakosa wa kufanana nae
Sijui lini nitapata wa kurushiana mito chumbani
Nilishawai kukudanganya nini?Wa huku jf waongo japo lazima waje Pm jiandae kupigwa na kuachwa uongez donda ndugu
Hata ukiwa nacho kuna muda kitakuboa tu.upweke ugonjwa mbaya sana
Duuuh!! Hii kauli mnaipenda[emoji134][emoji134][emoji134]Labda unachagua sana.
Acha kumtisha mwenzako, masinior bachelor tupo wengi tuu tunatafuta wife materialWanaume wazuri huku kwenye 100 unapata mmoja na wengi wao wameoa.