Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,871
- 225,748
SIJUIKwan akiwa HVO inakuaje?
SIJUIKwan akiwa HVO inakuaje?
HahaahahahhahaKuna dogo ana miaka 19 anadate na mzee wa miaka 50 alikuwa ananisimulia kwamba anaona aibu hata kusimama nae hadharani hizi hela zitakuja kuua mtu. Sema mm nataka nianze nae mahusiano tuwe tunazila hela za mzee.
MmmmmhVijana wenzako huwaoni hadi ukatoke na mtu ambaye ameshatumia ujana wake wote anaelekea uzee....?!
Matoto ya kike siku hizi ni majaalaana ptuuuuuuuuuuuuuuuh........ Hata aibu hauna....
Sent using Jamii Forums mobile app
ExactlyWewe fanya unavoona ni sawa kwako, kama umeamua kujibebea mstaafu wako beba tu.....
Hichi ulichojibu Ni illogical, nonsensical, and unreasonedkama nilivyoandika
Nimejibu kisomi na kimaadili mkuu.Hichi ulichojibu Ni illogical, nonsensical, and unreasoned
Embu jibu kama msomi basi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app