Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,626
Vijana wenzako huwaoni hadi ukatoke na mtu ambaye ameshatumia ujana wake wote anaelekea uzee....?!Ametokea ana umri wa baba au Mama Je Kuna hatari yeyote?
Matoto ya kike siku hizi ni majaalaana ptuuuuuuuuuuuuuuuh........ Hata aibu hauna....
Sent using Jamii Forums mobile app