Mwanasayansi Kalivubha
Member
- Feb 4, 2024
- 67
- 206
Kuna watu kwa nje wanafurahia mahusiano ila ki uhalisia wanateseka sana na anayewatesa sio mwingine bali ni huyu mtu ambaye SIKU UKISEMA HUNA TU BASI HAKUNA MAHUSIANO 😔
Je, upo kwenye mahusiano na mtu huyo?
VIASHIRIA KUWA UPO KWENYE HUO UTUMWA.
1. Uko radhi ulale njaa ila yeye ashibe
2. Uko radhi ukakope ili tu yeye apate na tatizo sio dharura.
3. Uko tayari uvae vibaya ila yeye avae vizuri.
4. Huna jeuri ya kusema huna pindi akuombapo kitu.
5. Unajiona kabisa ukisema huna basi atakuacha.
KAMA MAJIBU YAKO NI NDIYO KWA MASWALI MATATU BASI UPO KWENYE UTUMWA NA SIO MAHUSIANO
Jinasue haraka kwani upo kwenye mahusiano na mtu ambaye anahusiana na vitu vyako na sio na wewe.
Mwanasayansi Saul kalivubha
Je, upo kwenye mahusiano na mtu huyo?
VIASHIRIA KUWA UPO KWENYE HUO UTUMWA.
1. Uko radhi ulale njaa ila yeye ashibe
2. Uko radhi ukakope ili tu yeye apate na tatizo sio dharura.
3. Uko tayari uvae vibaya ila yeye avae vizuri.
4. Huna jeuri ya kusema huna pindi akuombapo kitu.
5. Unajiona kabisa ukisema huna basi atakuacha.
KAMA MAJIBU YAKO NI NDIYO KWA MASWALI MATATU BASI UPO KWENYE UTUMWA NA SIO MAHUSIANO
Jinasue haraka kwani upo kwenye mahusiano na mtu ambaye anahusiana na vitu vyako na sio na wewe.
Mwanasayansi Saul kalivubha