Kuwa first born sometimes ni shida

Yani first born akazingua Mara nyingi Wazazi wanapata msongo wa mawazo. Maana kiafrika first born Ni Kama mzazi wakitoka baba na mama yeye ndo anakabidhiwa majukumu.
Ndio sababu, baadhi ya mashirika ya Mapadri wa Kikatoliki huwa hawamchukui first born kuwa Padri, atashindwa kubeba majukumu ya kichungaji na yale ya familia yake. Kuwa first born huku Afrika ni shida sana.
 
Mimi ninachojua ni mstari wa utofauti kati ya first born na last born ni mwembamba sana.
 
Sasa mkuu si baraka unapata?

Na wazazi hawana uwezo utafanyaje bro?

Saint Anne
 
First born lazima asulubike ata kama yupo peke yake...haiwezekana first born aharibu titi la mama na baadhi ya viungo vyake afu akikuwa mkubwa eti anataka asisulubishwe....

Ukiwa me ndo usisemeee
 
ohooo!!! ongezea infos
First born ni gombania goli mkuu kwenye vita ya malango katika ulimwengu wa roho, ndo maana maisha yao huwa yana changamoto sana.....last born yeye ni mtoto pendwa kwa hiyo na yeye anaweza kuwa target. Hebu muite mshana aje atudadavulie vizuri kuhusu hili. Halafu nyie last born mbona huwa mnazingua sana? yaani unakuta ameshakuwa mtu mzima ana familia yake, ila kazi kujibaraguza ili apate attention, hivi huwa mnajikuta nyinyi ni nani hasa?
 
Wewe huwa huwasaidii wadogo zako?
Kama wewe ni last born,je hujawahi saidiwa na waliokutangulia?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusaidia wadogo zako ni upumbavu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo changamoto ujiongeze tu.

Mimi natimiza maombi kama jini la Aladini.

Kaka Mkubwa Kiranga.
 
Ubaya wa kuwa firstborn Ni kuwa unatakiwa uache mambo ya kitoto mapema na upambane haswa uache mambo ya kuchagua kazi maana ukiwa firstborn na ukawa raru alafu ukute umemzalisha mtoto wa mtu na unaishi nae kwa baba na mama yani ipo siku faza anaweza hata kukutia mikwaju mbele ya mtoto wako na mke wako

Mm ni firstborn na ninaamin baraka nying nazozipata na Shari nyingi zinazo nikosa ni kwaajili ya dua za wazazi sijawahi kujutia kutoa hela yoyote kwaajili yao sana moyo wangu unakua na furaha na ninapata zaid ya mara 10 baada ya muda mfupi tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yesu wangu![emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…