Kuwa first born sometimes ni shida

Mimi juzi dogo anaingia six wamefungua shule mwezi wa saba Ada hamna na anadaiwa ya term iliyoisha. Mshahara ulipoingia nilitoa Kama ulivyo nikamtumia, Yani tuseme nasurvive kwa nguvu za muumba. [emoji2]
 
mzee do you believe in spirituality?
 
Mimi juzi dogo anaingia six wamefungua shule mwezi wa sita Ada hamna na anadaiwa ya term iliyoisha. Mshahara ulipoingia nilitoa Kama ulivyo nikamtumia, Yani tuseme nasurvive kwa nguvu za muumba. [emoji2]
damn!!! halafu unasikia kafanya ujinga kafeli
 
Kwetu mzaliwa wa kwanza aliipata, yote aliyabeba yeye hadi kuweka umeme maji na vyote.

Ajabu wifi yangu anamwita... nyundo.. eti ni mbahili.

Wazaliwa wa kwanza Mungu awatie nguvu.
 
kama amefeli inakuaje?
 
First Born wanapitia mengi
 
Hii inanihusu sana, sina uhusiano mazuri na babaangu japo nampenda....
Mzee wangu alidakwa na Malaya kabla ya kustaafu Kazi wakala mafao na bidada mpya, mama akafa kwa presha bado inaniuma sana
duh!! hatari sana
 
Mkuu tupo!
 
Hii ni kweli

Mi nasererekaa na slope/kitonga kwa bro zangu

Full kuwapa majukumu[emoji848]

Kuzaliwa wa kwanza noma sana
 
1st born mna raha hasa kipindi mnasoma.
Mahitaji yote muhimu mnapewa ,yaani macho yote yanakuwa kwenu.
Wasaidieni wazazi kutusomesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan first born anapewaga privilege kubwa sana...

Na ndio maana na mimi nawatwisha mizigo, maana utotoni wametupokonya haki zetu
 

Mkuu uzao wa kwanza ni baraka, umepewa pendeleo hilo ili uwe dira ya wale watakaozaliwa nyuma yako, kumsaidia mtu haitaji kuwa na mali nyingi bali ni roho ya kusaidia, mfano ikiwa utamchukuwa ndugu yako ukaa naye hata kama kula yenu ni ya kuhausle ni kwa mbinde huyo ndugu yako utaona hilo na atakuombea ufanikiwe ili iwe nafuu kwakwe, Karma husaidia mwenye kusafia wengine sio tofauti na hapo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…