Mkuu tambua ya kwamba hawa polisi waliingia mara moja na kuanza kupekua wala hamna cha kuwapa ruhusa au la.ama hauelewi kama walikuwa wametumwa wakaambiwa do anything no one will question?Ila humu JF we dare question.
Wanihitaji ruhusa ya nani?wao instructions zao labda zilikuwa 'live no stone unturned'na kama ruhusa ya kufanya hivyo walikwisha pewa na bosi wao hawakuhitaji ya mtu mwingine.
Hii ndio Tanzania.Ubabe.
Madela huwa nakubaliana sana na mawe yako...Na karibu back...Anyways kama kawaida sikubaliani na wewe kuwa Mugabe ni mtu mbaya.
Mengine yote nakubali.
Mugabe siyo IDIOT na wewe unapoangalia kama hapo kwenye picha yako..Angalia na juu pia...Chini sometimes noma.
Maana umenikumbushia ule usemi wako maarafu wa konokono,wembe na chumvi.
Nashukuru kwa ushauri wako mzuri.
Kuanzia sasa Nitajitahidi kutazama juu mbele, kulia,kushoto na zaidi nyuma yangu.
Namwita Idiot kwa kitendo kimoja tu kuvuruga uchumi wa Zimbambwe kwa makusudi ili aendelee kutawala.
Zamani zile enzi za Uchaguzi wa kwanza wa Zimbabwe, Mugabe alishutumiwa na kuhusishwa na kulipua Bomu gari lililobeba kura kutoka majimbo yaliyo msapoti mpinzani wake wa jadi Marehemu Joshua Nkomo.
Kura zilizolipuliwa hazikuingizwa katika orodha ya matokeo, Mugabe akaibuka kidedea.
Kwa kuiweka hewani historia hiyo naamini mpiganaji wa msituni huyu hakosi kujiona kwamba yeye ndo Zimbabwe na Zimbabwe ndo yeye.
Wakati mwingine pale Dar Konda wa daladala ndo mwendesha Gari na Dereva ni mtu wa kufuata Amri na kunyonga nyonga usukani tu.
Kula kichwa hicho!
Mchomekee!
Noma! denti!
Juu kwa juu!
Niminyia mwanangu!
Kula Boda! nk
Jamaa angeweka kibaraka wake bwana mdogo fulani ashike madaraka na yeye akaye huko Backbench na kuongoza Jahazi kwa mayowe ya kimya.
Nini kitokee huko Zimbabwe ili sifa niliyompa Mugabe aivae kaa shati la haki ya Mungu?
Sheria zinazolinda mafisadi hizo hizo zimempa haki. Hapo unasemaje? Si tumeshazijua? na bado tutaendelea kuzipata! Meza chupa ukiona hasiraKubenea hana haki ya kutangaza account ya mtu ina shillingi ngapi,nani kampa nguvu hio hapo ni kuingilia haki ya mtu ya kimsingi
TUNACHAMGANYA VITU AU TUTACHANGANYA VITU.
Nimesoma maoni mengi ya wenzangu huko nyuma na nimeona sana tume base kwenye Criminal Procedure.Hapo mko sawa.Lakini kwa suala hili linahusu vitu vitatu tofauti na ambavyo vinaendana sambamba sana.Navyo ni 1. criminal Procedure 2.Police Duties Act pia 3.Criminal Investigation.
Kwa mtiririko huo ni obvious kuwa OC CID,RCO na RPC wa Dar es Salaam (kinondoni na Temeke)wanafahamu fika kuhusu suala hilo,ISIPOKUWA PROCEDURE ZA UPEKUZI HAZIKUFUATWA.Mwanakijiji hapo juu umesema vizuri ila napingana na wewe kuwa Sheria ya upekuzi imewawekea mipaka Polisi katika upekuzi wake na ndio maana ikawepo sheria ya upekuzi kwa police.Vile vile ukisoma PGO imefafanua barabara tena kwa kuwaelekeza polisi na kuwabana SANA polisi kuhusu kufanya upekuzi hasa kwenye majumba na ndo maana OC CID makini hakurupuki kutoa search warrant.Labda hapa chini niwawekee procedure anazotakiwa kufuata polisi kabla ya kwenda kufanya upekuzi.
Labda nianze na kusema kuwa ni kweli kwa mujibu wa Criminal Procedure,Polisi yeyote ANAPOHISI KITU CHOCHOTE ANA HAKI YA KUFANYA UPEKUZI KAMA SHERIA INAVYOSEMA.So kuhusu kubenea Kupekuliwa wanaweza kusema lolote,ISIPOKUWA inaanza hivi:-
-Kuna kuwa na clues.Zinaweza kuwa zimetoka kwa polisi Mdogo au Mkubwa akawaita Wadogo kuwatuma.Kama imetoka kwa polisi mdogo basi LAZIMA aende kwa OC CID au OCS (kama yeye ni polisi anaevaa magwanda) Lakini kwa hili kwa vile waliofanya upekuzi wamevaa kiraia basi hawa ni wa OC CID.
-Huyo OC CID au RCO au mkubwa mwingine wa polisi mwenye cheo kikubwa ndo mwenye ruhusa ya kusaini,kisha hao askari wanaenda kufanya upekuzi.
-Wakifika kwenye eneo la kufanya upekuzi,say nyumba LAZIMA WAJITAMBULISHE NA WASEME NIA YA UPEKUZI.mfano mimi ni askari fulani na tumekuja kupekua hii nyumba tumesikia kuna siraha ua nyakala za serikali.
-LAZIMA AWEPO SHAHIDI ambae siye mhusika wa nyumba hiyo wala polisi.Hapa wanaokubalika kisheria ni mwenyekiti au kiongozi wa mtaa huo au JIRANI yeyote ambae ni mtu mzima kama viongozi hawapo na pia ataelezwa NIA YA UPEKUZI MBELE YA ASKARI NA MWENYE NYUMBA HIYO.Ndo maana hiyo search warrant kuna sehemu ya shahidi kusaini.
-Mwenye kusachiwa akishaelezwa nia ya kusachiwa uko na nini kinatafutwa ANA HAKI KISHERIA KUWA-SEARCH HAO POLISI KABLA YA WAO KUM-SEARCH hapa ina maana say kama wanatafuta say bastola,basi awasachi polisi kwanza kuhakikisha hao polisi hawana bastola au wanazo.Hii inaondoa utata wa polisi kutengeneza kesi (yaani anakuja na ekizibiti halafu anakuwekea ndani kwako kisha wanasema mwenye nyumba kakutea na bastola) so ndo maana sheria inamtaka msahiwaji amsachi kwanza anae sachi.
-Baada ya mwenye nyumba kuridhika au baada ya kuambiwa kinatafutwa nini na kuwasachi polisi kama ataamua kufanya hivyo atawaongoza polisi ndani wakiwa na SHAHIDI SAMBAMBA.
-Baada ya kumaliza kusachi inajazwa hiyo search warrant mbele ya shahidi na anatia sahihi kuwa kilikuwa kinatafutwa nini na kimepatikana kitu gani na mwenye nyumba anasaini pamoja na huyo shahidi pia.
-Kisha polisi wanaondoka na pia mwenye nyumba bado ANA HAKI YA KUWASACHI POLISI (Kabla hawajaondoka)WASIJE WAKAWA WAMEONDOKA AU WAMEFICHA KITU AMBACHO AKIKUANDIKWA KWENYE SEARCH WARRANT.
Hizo ndo procedure zinazotakiwa kufuatwa kuhusu upekuzi.Sijui kama zimefuatwa,ila kwa jinsi ninavyowajua Mapolisi wetu kwa kukurupuka wakifikiri ni sifa sidhani kama zimefuatwa.Wao manguvu tu.Akili kidooogo.
Tuendelee na issue hii tuone kama procedure zimefuatwa kama hazikufuatwa nafikiri Kubenea ana wakili wake na atawashitaki polisi kwa kumdharirisha na kumsababishia hasara ya mabilioni.
NotedTUNACHAMGANYA VITU AU TUTACHANGANYA VITU.
Nimesoma maoni mengi ya wenzangu huko nyuma na nimeona sana tume base kwenye Criminal Procedure.Hapo mko sawa.Lakini kwa suala hili linahusu vitu vitatu tofauti na ambavyo vinaendana sambamba sana.Navyo ni 1. criminal Procedure 2.Police Duties Act pia 3.Criminal Investigation.
Kwa mtiririko huo ni obvious kuwa OC CID,RCO na RPC wa Dar es Salaam (kinondoni na Temeke)wanafahamu fika kuhusu suala hilo,ISIPOKUWA PROCEDURE ZA UPEKUZI HAZIKUFUATWA.Mwanakijiji hapo juu umesema vizuri ila napingana na wewe kuwa Sheria ya upekuzi imewawekea mipaka Polisi katika upekuzi wake na ndio maana ikawepo sheria ya upekuzi kwa police.Vile vile ukisoma PGO imefafanua barabara tena kwa kuwaelekeza polisi na kuwabana SANA polisi kuhusu kufanya upekuzi hasa kwenye majumba na ndo maana OC CID makini hakurupuki kutoa search warrant.Labda hapa chini niwawekee procedure anazotakiwa kufuata polisi kabla ya kwenda kufanya upekuzi.
Labda nianze na kusema kuwa ni kweli kwa mujibu wa Criminal Procedure,Polisi yeyote ANAPOHISI KITU CHOCHOTE ANA HAKI YA KUFANYA UPEKUZI KAMA SHERIA INAVYOSEMA.So kuhusu kubenea Kupekuliwa wanaweza kusema lolote,ISIPOKUWA inaanza hivi:-
-Kuna kuwa na clues.Zinaweza kuwa zimetoka kwa polisi Mdogo au Mkubwa akawaita Wadogo kuwatuma.Kama imetoka kwa polisi mdogo basi LAZIMA aende kwa OC CID au OCS (kama yeye ni polisi anaevaa magwanda) Lakini kwa hili kwa vile waliofanya upekuzi wamevaa kiraia basi hawa ni wa OC CID.
-Huyo OC CID au RCO au mkubwa mwingine wa polisi mwenye cheo kikubwa ndo mwenye ruhusa ya kusaini,kisha hao askari wanaenda kufanya upekuzi.
-Wakifika kwenye eneo la kufanya upekuzi,say nyumba LAZIMA WAJITAMBULISHE NA WASEME NIA YA UPEKUZI.mfano mimi ni askari fulani na tumekuja kupekua hii nyumba tumesikia kuna siraha ua nyakala za serikali.
-LAZIMA AWEPO SHAHIDI ambae siye mhusika wa nyumba hiyo wala polisi.Hapa wanaokubalika kisheria ni mwenyekiti au kiongozi wa mtaa huo au JIRANI yeyote ambae ni mtu mzima kama viongozi hawapo na pia ataelezwa NIA YA UPEKUZI MBELE YA ASKARI NA MWENYE NYUMBA HIYO.Ndo maana hiyo search warrant kuna sehemu ya shahidi kusaini.
-Mwenye kusachiwa akishaelezwa nia ya kusachiwa uko na nini kinatafutwa ANA HAKI KISHERIA KUWA-SEARCH HAO POLISI KABLA YA WAO KUM-SEARCH hapa ina maana say kama wanatafuta say bastola,basi awasachi polisi kwanza kuhakikisha hao polisi hawana bastola au wanazo.Hii inaondoa utata wa polisi kutengeneza kesi (yaani anakuja na ekizibiti halafu anakuwekea ndani kwako kisha wanasema mwenye nyumba kakutea na bastola) so ndo maana sheria inamtaka msahiwaji amsachi kwanza anae sachi.
-Baada ya mwenye nyumba kuridhika au baada ya kuambiwa kinatafutwa nini na kuwasachi polisi kama ataamua kufanya hivyo atawaongoza polisi ndani wakiwa na SHAHIDI SAMBAMBA.
-Baada ya kumaliza kusachi inajazwa hiyo search warrant mbele ya shahidi na anatia sahihi kuwa kilikuwa kinatafutwa nini na kimepatikana kitu gani na mwenye nyumba anasaini pamoja na huyo shahidi pia.
-Kisha polisi wanaondoka na pia mwenye nyumba bado ANA HAKI YA KUWASACHI POLISI (Kabla hawajaondoka)WASIJE WAKAWA WAMEONDOKA AU WAMEFICHA KITU AMBACHO AKIKUANDIKWA KWENYE SEARCH WARRANT.
Hizo ndo procedure zinazotakiwa kufuatwa kuhusu upekuzi.Sijui kama zimefuatwa,ila kwa jinsi ninavyowajua Mapolisi wetu kwa kukurupuka wakifikiri ni sifa sidhani kama zimefuatwa.Wao manguvu tu.Akili kidooogo.
Tuendelee na issue hii tuone kama procedure zimefuatwa kama hazikufuatwa nafikiri Kubenea ana wakili wake na atawashitaki polisi kwa kumdharirisha na kumsababishia hasara ya mabilioni.