Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,044
- 1,996
Habari wana JF ,Mwanangu ana umri wa mwezi mmoja na siku tatu.Anasumbuliwa sana na tumbo ,huwa anajisokota na kulia muda mwingi na anataka muda wote apakatwe au bebwe.
Lkani pia leo ni kama siku ya 8 au 9 hapati choo kikubwa.Ananyonya vzri,anacheua vzri lakini shida ndoo hilo tumbo kuuuma na kuttopata choo.
Naomba anaejua dawa ya kutumia au ushauri wa kitabibu.Nitashukuru ndugu zangu.
Lkani pia leo ni kama siku ya 8 au 9 hapati choo kikubwa.Ananyonya vzri,anacheua vzri lakini shida ndoo hilo tumbo kuuuma na kuttopata choo.
Naomba anaejua dawa ya kutumia au ushauri wa kitabibu.Nitashukuru ndugu zangu.