peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,827
- 21,442
Kila kukicha umeme unakatika siku nzima tena wilaya nzima au mkoa mzima.
Ninauliza Tanesco, Tanzania tumeanza mgao wa umeme?
Nimeuliza ili tuanze kununua generator
Ninauliza Tanesco, Tanzania tumeanza mgao wa umeme?
Nimeuliza ili tuanze kununua generator