Stigler’s George imeanza kutoa umeme, tunaamini mgao utaisha kabisa

Mparee2

JF-Expert Member
Sep 2, 2012
2,586
4,274
Ni habari Njema kwa Stiglers George kuanza kutoa umeme tangu Feb 25th, hivyo tuna amini mgao wa umeme utapungua sana kama sio ukisha kabisa.

ANGALIZO

Kwa kuwa stiglers tumeambiwa in outlets (vinu 9) na jana wamewasha kimoja tu; Pengine wahakikishe hawawashi vyote ili tuwe na backup pale panapotokea matatizo.

Nimesema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Kuwasha vinu vichache, itatuhakikishia kuwa na maji mengi yatayotosheleza kutoa umeme hata kipindi cha kiangazi kwani kwa vinu vichache maji yanatiririka kidogo kidogo.

2. Tutakuwa na mitambo (vinu vya akiba) vitakavyo tumika kubalishana pale mtambo mmojawapo unapokuwa na hitilafu au pengine tunapo hitaji kuifanyia mitambo service

3. Habari ya kuweka mgao wa umeme kwa kigezo cha kufanyia mitambo service au kuharibika kwa mtambo mmoja haina nafasi tena kwa karne hii

4. Habari ya kuweka mgao kwa sababu maji yamepungua kwenye mabwawa mengine itakuwa historia kwani tutakuwa na uwezo wa kuwasha kinu kingine(cha akiba) kukabiliana na hali hiyo

5. Kwa sasa tujikite kwenye kuwa na umeme wa uhakika kwa matumiazi ya ndani kwa asilimia 100% kwa mwaka mzima na sio kwa kipindi cha Mvua. Suala la kufikiria kuuza umeme nje, lisiwe kipaumbele kwa sasa kwani tukiwasha vinu vingi kwa ajili ya kuuza umeme, msimu wa kiangazi tunaweza kurudi kulekule kwenye giza.

MWISHO
TANESCO wawe na tabia ya kufikiria (forecast) changamoto za umeme miezi au miaka kadhaa kwani wanachi wanaolipia huduma, wanataka matokeo/umeme wa uhakika, wa bei nafuu na huduma za haraka.
 
Mkandarasi amelipwa kujenga vinu tisa vya kuzalisha MW 2000+ Naamini walikokotoa kiasi cha maji kinachozuiwa nyuma ya tuta, kitaweza kuendesha mitambo yote tisa na kutengeneza ziada ya umeme.

Kuendesha mitambo mitatu na kuiacha mingine sita eti itumike kwenye dharura, nadhani haya ni matumizi mabaya ya assets. Basi tungeboresha Kidatu na Kihansi pekee.
 
Ni habari Njema kwa Stiglers George kuanza kutoa umeme tangu Feb 25th hivyo tuna amini mgao wa umeme utapungua sana kama sio ukisha kabisa.
ANGALIZO
Kwa kuwa stiglers tumeambiwa in outlets (vinu 9) na jana wamewasha kimoja tu; Pengine wahakikishe hawawashi zaidi ya outlets (vinu) vitatu kwani; hata wakiwasha viwili, tayari umeme utakuwa umetosheleza mahitaji ya ndani

Nimesema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Kuwasha vinu vichache, itatuhakikishia kuwa na maji mengi yatayotosheleza kutoa umeme hata kipindi cha kiangazi kwani kwa vinu vichache maji yanatiririka kidogo kidogo.

2. Tutakuwa na mitambo (vinu vya akiba) vitakavyo tumika kubalishana pale mtambo mmojawapo unapokuwa na hitilafu au pengine tunapo hitaji kuifanyia mitambo service

3. Habari ya kuweka mgao wa umeme kwa kigezo cha kufanyia mitambo service au kuharibika kwa mtambo mmoja haina nafasi tena kwa karne hii

4. Habari ya kuweka mgao kwa sababu maji yamepungua kwenye mabwawa mengine itakuwa historia kwani tutakuwa na uwezo wa kuwasha kinu kingine(cha akiba) kukabiliana na hali hiyo

5. Kwa sasa tujikite kwenye kuwa na umeme wa uhakika kwa matumiazi ya ndani kwa asilimia 100% kwa mwaka mzima na sio kwa kipindi cha Mvua. Suala la kufikiria kuuza umeme nje, lisiwe kipaumbele kwa sasa kwani tukiwasha vinu vingi kwa ajili ya kuuza umeme, msimu wa kiangazi tunaweza kurudi kulekule kwenye giza.

MWISHO;
TANESCO wawe na tabia ya kufikiria (forecast) changamoto za umeme miezi au miaka kadhaa kwani wanachi wanaolipia huduma, wanataka matokeo/umeme wa uhakika, wa bei nafuu na huduma za haraka....
Kwa teknolojia ya sasa, gharama za kutunza vinu ambavyo havifanyi kazi, ikoje? maana tunaweza kujikuta tunaingia gharama kubwa kutunza na ku service vinu ambavyo havifanyi kazi.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mkandarasi amelipwa kujenga vinu tisa vya kuzalisha MW 2000+ Naamini walikokotoa kiasi cha maji kinachozuiwa nyuma ya tuta, kitaweza kuendesha mitambo yote tisa na kutengeneza ziada ya umeme.
Kuendesha mitambo mitatu na kuiacha mingine sita eti itumike kwenye dharura, nadhani haya ni matumizi mabaya ya assets... Basi tungeboresha Kidatu na Kihansi pekee.

Kutegemea mvua unatakiwa uwe na hesabu ya hali ya juu sana ili kuweza kutoboa. Hao wazungu wanamkataba kuwa, kutakuwa na mvua reliable for the next 15yrs? wakati mwingine tunatakiwa kutumia akili zetu

Ukisikia Nchi za Ulaya zinasema zina umeme wa uhakika na ziada usifikiri kuwa wamewasha vinu au source zao zote za umeme. Hii ina maana ilituweze kuaminisha watu/wawekezaji kuwa tuna umeme wa uhakika na wa Ziada MAANA YAKE ni tuwe na source kadhaa ambazo zipo kama backup/ standby kukiwa na changamoto yoyote zinatake over..
Na hapa ndipo watu hukosea kwa kuendesha mitambo bila kufikiri huko mbele nini kitatokea, ikiharibika au wakati wa kuifanyia service
 
Kwa teknolojia ya sasa, gharama za kutunza vinu ambavyo havifanyi kazi, ikoje? maana tunaweza kujikuta tunaingia gharama kubwa kutunza na ku service vinu ambavyo havifanyi kazi.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sijasema vinu vitunzwe tuu bila matumizi; nilichosema ni Ku alternate (kubadilishana)
Mfano; mtera, Nyumba ya mungu nk tumeambiwa kunahitaji service kubwa; Inamaana hapo utawasha vinu vya ziada bila kuadhiri upatikanaji wa umeme na hivyo kupata miezi mitatu ya ukarabati huko mtera.
Tuliambiwa pia bomba la gasi linatakiwa libadilishwe liwe kubwa na service za mashine....inamaana kazi hiyo itaweza kufanyika bila kuadhiri upatikanaji wa umeme
Tunajua pia baada ya miezi kadhaa hivyo vilivyo washwa vinahitaji service ambayo huchukua walau mwezi mzima; inamaana hapo unawasha hivyo vingine vya ziada na kuto kuadhiri upatikanaji wa umeme

Ni ushauri tu kuepuka vizingizio miezi sita ijayo.....
 
Kwa kuwa stiglers tumeambiwa in outlets (vinu 9) na jana wamewasha kimoja tu; Pengine wahakikishe hawawashi zaidi ya outlets (vinu) vitatu kwani; hata wakiwasha viwili, tayari umeme utakuwa umetosheleza mahitaji ya ndani.
Huu utaalam wewe umeutoa wapi maengineer wenyewe wamejenga vinu 9 na wanaakili zao.
 
Huu utaalam wewe umeutoa wapi maengineer wenyewe wamejenga vinu 9 na wanaakili zao.

Mimi sio Engineer ILA kujenga na kushauri matumizi ni vitu viwili tofauti na ndio mana kuna Engineer na Administrator au hata advisor
Vitu vingine ni hesabu rahisi tu wala haihitaji kuwa Engineer
Mfano; hizo lita za maji kwenye ziwa ukiwasha vinu tisa unahakika yatawaweza kuviendesha kwa miezi 9 (tisa) bila kuwa na mvua za uhakika? siamini kama itawezekana labda kwa miujiza ya Mungu
Tatizo la ngozi nyeusi hatutumii akili zetu....tunasubiri ngozi nyeupe watusaidie kufikiri.....
 
Ni habari Njema kwa Stiglers George kuanza kutoa umeme tangu Feb 25th, hivyo tuna amini mgao wa umeme utapungua sana kama sio ukisha kabisa.

ANGALIZO

Kwa kuwa stiglers tumeambiwa in outlets (vinu 9) na jana wamewasha kimoja tu; Pengine wahakikishe hawawashi vyote ili tuwe na backup pale panapotokea matatizo.

Nimesema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Kuwasha vinu vichache, itatuhakikishia kuwa na maji mengi yatayotosheleza kutoa umeme hata kipindi cha kiangazi kwani kwa vinu vichache maji yanatiririka kidogo kidogo.

2. Tutakuwa na mitambo (vinu vya akiba) vitakavyo tumika kubalishana pale mtambo mmojawapo unapokuwa na hitilafu au pengine tunapo hitaji kuifanyia mitambo service

3. Habari ya kuweka mgao wa umeme kwa kigezo cha kufanyia mitambo service au kuharibika kwa mtambo mmoja haina nafasi tena kwa karne hii

4. Habari ya kuweka mgao kwa sababu maji yamepungua kwenye mabwawa mengine itakuwa historia kwani tutakuwa na uwezo wa kuwasha kinu kingine(cha akiba) kukabiliana na hali hiyo

5. Kwa sasa tujikite kwenye kuwa na umeme wa uhakika kwa matumiazi ya ndani kwa asilimia 100% kwa mwaka mzima na sio kwa kipindi cha Mvua. Suala la kufikiria kuuza umeme nje, lisiwe kipaumbele kwa sasa kwani tukiwasha vinu vingi kwa ajili ya kuuza umeme, msimu wa kiangazi tunaweza kurudi kulekule kwenye giza.

MWISHO
TANESCO wawe na tabia ya kufikiria (forecast) changamoto za umeme miezi au miaka kadhaa kwani wanachi wanaolipia huduma, wanataka matokeo/umeme wa uhakika, wa bei nafuu na huduma za haraka.
Tatizo la umeme tanzania kwa sehemu kubwa ni la kimiundombinu sabau sehemu kubwa nguzo zinaanguka kutokana na mvua hii lakin pia transformer zinanungua hovyo sema wanachukua muda sana kufanya service
 
Ni habari Njema kwa Stiglers George kuanza kutoa umeme tangu Feb 25th, hivyo tuna amini mgao wa umeme utapungua sana kama sio ukisha kabisa.

ANGALIZO

Kwa kuwa stiglers tumeambiwa in outlets (vinu 9) na jana wamewasha kimoja tu; Pengine wahakikishe hawawashi vyote ili tuwe na backup pale panapotokea matatizo.

Nimesema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Kuwasha vinu vichache, itatuhakikishia kuwa na maji mengi yatayotosheleza kutoa umeme hata kipindi cha kiangazi kwani kwa vinu vichache maji yanatiririka kidogo kidogo.

2. Tutakuwa na mitambo (vinu vya akiba) vitakavyo tumika kubalishana pale mtambo mmojawapo unapokuwa na hitilafu au pengine tunapo hitaji kuifanyia mitambo service

3. Habari ya kuweka mgao wa umeme kwa kigezo cha kufanyia mitambo service au kuharibika kwa mtambo mmoja haina nafasi tena kwa karne hii

4. Habari ya kuweka mgao kwa sababu maji yamepungua kwenye mabwawa mengine itakuwa historia kwani tutakuwa na uwezo wa kuwasha kinu kingine(cha akiba) kukabiliana na hali hiyo

5. Kwa sasa tujikite kwenye kuwa na umeme wa uhakika kwa matumiazi ya ndani kwa asilimia 100% kwa mwaka mzima na sio kwa kipindi cha Mvua. Suala la kufikiria kuuza umeme nje, lisiwe kipaumbele kwa sasa kwani tukiwasha vinu vingi kwa ajili ya kuuza umeme, msimu wa kiangazi tunaweza kurudi kulekule kwenye giza.

MWISHO
TANESCO wawe na tabia ya kufikiria (forecast) changamoto za umeme miezi au miaka kadhaa kwani wanachi wanaolipia huduma, wanataka matokeo/umeme wa uhakika, wa bei nafuu na huduma za haraka.
Ccm mmeshakuja kuanzisha sera za kukwamisha mambo... Mitambo hiyo sio ya kukaa kama pambo
 
Ccm mmeshakuja kuanzisha sera za kukwamisha mambo... Mitambo hiyo sio ya kukaa kama pambo

Kusema NCHI Inaumeme wa uhakika na wa Ziada MAANA YAKE ni kuwa na source kadhaa ambazo zipo standby kukiwa na changamoto yoyote zinatake over.
Ukisikia Nchi za Ulaya zinasema zina umeme wa uhakika usifikiri kuwa wamewasha source zao zote za umeme. Huwa wanazo backup kadhaa na ndio sababu unaweza kukaa kwao kwa miaka 5 bila kuona umeme umekatika kwa lisaa bila kurudi
HUU NI USHAURI WANGU BINAFSI WALA SIKUSUDII MALUMBANO
 
Kwani lengo la hilo bwawa la Nyerere lilikuwa ni umeme wa ndani ya nchi tu? Nakumbuka walisema watauza nje ya nchi! Mwezi ujao wakiwasha mtano namba nane tunakuwa na akiba ya unit 7 kwa mujibu wa Doto. Kwahiyo mitambo namba 1-7 umeme wake utauzwa nje ya nchi
 
Tatizo la umeme tanzania kwa sehemu kubwa ni la kimiundombinu sabau sehemu kubwa nguzo zinaanguka kutokana na mvua hii lakin pia transformer zinanungua hovyo sema wanachukua muda sana kufanya service
Pengine kuondoa hiyo Changamoto, wagawanye shirika yawe mawili
TANESCO kazi yake iwe kuzalisha umeme
Lianzishwe Shirika lingine ambalo kazi yake ni usambazaji kwa kulipwa hela zile zile wanazolipwa TANESCO kwa kazi hiyo ILA 49% ya hisa iwe private sector kwani bila kushirikisha sekta binafsi, sioni kama kutakuwa na jipya....
 
Back
Top Bottom