Nakubaliana na wewe 100%...Boss saving without purpose of saving is impossible... Tafuta lengo la kufanya saving for instance unataka kujenga kununua gari, wedding, business, Alafu ndio uanze kuweka pesa.. Bila hivyo unapoteza Muda..
Saving without a purpose ni kujinyima na kujiumiza...ukiwa na lengo...ni rahisi sana kuitunza pesa yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
