Kutuma maombi ya kazi TANROADS

Kutuma maombi ya kazi TANROADS

we ndio msemaj wake!?
Planett hamna namna ! Umeamua tu kututangazia uko tpdc basi! Hujamuelewa siz! Afu nae sizi anajichanganya! Ametumia njia zote afu anaomba ushauri...sure siz hujiamini mkuu!
 
Planett hamna namna ! Umeamua tu kututangazia uko tpdc basi! Hujamuelewa siz! Afu nae sizi anajichanganya! Ametumia njia zote afu anaomba ushauri...sure siz hujiamini mkuu!

Kitaa kugumu mdau ndo maana hata imani hakuna kwa unachofanya nilimuuliza mmoja wa staff wa pale ndani baada ya kukuta tangzo kwenye noticeboard yao vipi kuhusu hizi nafasi akanijib "we leta tu maombi hapa wenzako wanaleta hapa" na nikaona wadau wanakuja na application zao pale na kwasababu pesa ya kucertify vyeti ilikuwepo ckuona shida kutengeneza application nyingine na ku submit fasta nilikuta bahasha za kutosha
 
Kitaa kugumu mdau ndo maana hata imani hakuna kwa unachofanya nilimuuliza mmoja wa staff wa pale ndani baada ya kukuta tangzo kwenye noticeboard yao vipi kuhusu hizi nafasi akanijib "we leta tu maombi hapa wenzako wanaleta hapa" na nikaona wadau wanakuja na application zao pale na kwasababu pesa ya kucertify vyeti ilikuwepo ckuona shida kutengeneza application nyingine na ku submit fasta nilikuta bahasha za kutosha
komaaa, hiyo itakuwa ni ya contract, permanent zinatangazwa na utumishi..
 
we fuata maelekezo je wamesema upeleke kwa mkono au kwa post. Na njia sahihi nikupeleka kwa post .
 
kupata haki ...mara nyingi inategemea nautaratibu wa ofisi....nadhani aya mashirika kama tanroad, tanesco utaratibu wao ni mbovuu sana ....mi nayaona kama chenga tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
H
kupata haki ...mara nyingi inategemea nautaratibu wa ofisi....nadhani aya mashirika kama tanroad, tanesco utaratibu wao ni mbovuu sana ....mi nayaona kama chenga tuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Halafu jamaa wana Sera mbovu Sana hawaajir ajira za permanent, Ni Kama wapo Ni wachache Sana wao wanaajiri ajira za mikataba Hivyo ajira zao hazipitii utumishi Sasa hapo ni full kupeana, yaani Hawa jamaa hawana maana kabisa
 
Back
Top Bottom