Kutolewa kwa Mkopo wa Benki ya Dunia kwa Tanzania: Marekani yaeleza msimamo wake

Hivi wewe unaelewa hiyo bank ni ya nani? Kiuhalisia WB ni mali ya Marekani na marafiki zake wachache. Marekani ndiye aliyeianzisha kwa dhumuni la kuzisaidi nchi za Ulaya baada ya vita ya Dunia.

Yeye ndiye mwenye hisa nyingi kuliko nchi yeyote, na ndiye pekee mwenye kura ya veto ndani ya WB. Akitaka tusipewe, hatupewi. Sisi hatuna hata dola moja kwenye hiyo WB.

Msiwe mnapayuka tu bila kujua chochote. Kama tunataka hiyo pesa, tunayetakiwa kumbembeleza ni Mmarekani, ndiye aliyeshikilia mpini kwenye hiyo bank.
Exactly. WB na IMF ni 'gentleman clubs' za Marekani na washikaji zake wa Ulaya. Na wana 'a gentleman agreement' kwamba boss wa WB atoke Marekani na boss wa IMF atoke Ulaya.
 
Sasa hii inanipa taabu kidogo...kuwa hizi zote taasisi za umoja wa mataifa ni fronts za US na hiyo ni sawa na mfuko wa kulia na kushoto bado katika suruali ile ile. Accountability and responsibility inahitajika pamoja na integrity. Ila ukijitegema na kujiamulia kwa US utapata taabu sana...refer Qaddafi etc.
 
Marekani atulize puru lake huko nae tumemchoka kama hiyo hela anaitaka yeye wampe akatengeneze mabomu!! Halafu tunaokopa ni sisi Kama kinamuwasha na kwenye kulipa aje atusaidie.
Maskini jeuri,ndumilakuwili,mwenye kauli mbili ya nataka sitaki.By the way fedha kutolewa kwa masharti Ni sahihi sababu nyie timu ya sifa na ibada kwa jiwe, sifa zote kwenu na deni tutalipa watanzania wote.
 
Maskini jeuri,ndumilakuwili,mwenye kauli mbili ya nataka sitaki.By the way fedha kutolewa kwa masharti Ni sahihi sababu nyie timu ya sifa na ibada kwa jiwe, sifa zote kwenu na deni tutalipa watanzania wote.
Ni kweli Deni watalipa watanzania wote lakini wakopaji ni CCM na pesa itaenda kutumika kwenye kampeni kinyume na malengo ya mkopo, CCM wanakopa mikopo yao binafsi kisha kuwabebrsha zipo wananchi wote kulipa
 
Back
Top Bottom