Kutokulala Nyumbani

Kutokulala Nyumbani

ila man hii point sana dem wangu mwenyewe ana mdomo balaaa yaani ni anaongea anauliza mpaka vitu vya kijinga ***** siku hizi mpaka najifanya navuta bangi akiongea sana jibu ni hapana au ndio na maelekezo tu
😄 😄 nilijua tu kuna tu manzi twingine tuna midomo km chuchunge ukiwa km kazi zako zinahusisha ruti za kusafiri unakasusia nyumba ase
 
Nitaanza kujifanyia maombi, maana hii hali siipendi.
Kaini baada ya kumuua ndugu yake Habili alitamkiwa laana ya namna hiyo, uzuluraji.usikute na wewe unatokea kwenye ukoo huo.
 
Ndugu zangu, Baadae ndo natoka home naenda kimara kulala.
 
.Tv, Sopha,Radio. Vipo.
Mkuu unaweza kuwa na hivyo vyote lakini pasikuvutie.
-Usafi
-Mpangilio mzuri
- Mazingira mazuri (Utulivu).

Pia kuna mdau hapo juu kagusia upweke. Huo pia unaweza kuwa mzizi wa yote hayo. Ndani kwako unapaona hapavutii hata kuvusha wa kukuondolea upweke unaona soo unaamua ukapaki gari kwa jirani.
 
Mkuu unaweza kuwa na hivyo vyote lakini pasikuvutie.
-Usafi
-Mpangilio mzuri
- Mazingira mazuri (Utulivu).

Pia kuna mdau hapo juu kagusia upweke. Huo pia unaweza kuwa mzizi wa yote hayo. Ndani kwako unapaona hapavutii hata kuvusha wa kukuondolea upweke unaona soo unaamua ukapaki gari kwa jirani.
Yaaani Kuna mda nalala Sehemu ambayo hata kwangu ni pazuri mara 100.
Yaaani we achaaa tu.
 
Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani,

Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.

kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
Si ajabu mkuu,ni mazoea tu
 
Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani,

Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.

kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
Hii hali ipo kabisa. Sababu mara nyingi naamini ni zile za "Inner you".
Mtu wako wa ndani unajaribu kutafuta mahali ambapo patakuwa na utulivu kwake .
 
Kama Kuna mtu aje Tunywe wote nimpe Location
 
Back
Top Bottom