Kutokulala Nyumbani

Kutokulala Nyumbani

Nikuulize maswali

Hiyo nyumba ina usalama mean hakuna issue za Imani potofu ?

Je kazi unayofanya ni ipi ??

Je una Hali ya kuwa mpweke ??

Je unatumia muda mwingi kwenye starehe na kulalia huko huko ?

Kwann ukilala nje ya nyumba yako ndo upate amani??
 
Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani,

Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.

kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
Usipo badilika hakuna kitakachobadilika
 
Nikuulize maswali

Hiyo nyumba ina usalama mean hakuna issue za Imani potofu ?

Je kazi unayofanya ni ipi ??

Je una Hali ya kuwa mpweke ??

Je unatumia muda mwingi kwenye starehe na kulalia huko huko ?

Kwann ukilala nje ya nyumba yako ndo upate amani??
Wewe ntakutafuta tuwasiliane Vizuri, kwa maongezi.
 
Hii hali iliwahi kunitesa sana 2019-2020...ikajirudia tena 2024 halafu ikakata ghafla na siitaki tena.
 
Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani,

Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.

kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
Punguza ulevi... Tumia hobby yako home, kama vile kujiweka busy na kucheki movies au kusoma
 
Binadamu huwa tuna tabia zinazofanana na za wanyama.....kitabia umefanana na pimbi, anaweza kukimbia umbali mrefu sana na akifika huko anaenda kulala tu.

Kwahiyo nawe kalale unakotaka ni kawaida

hivyo kwa kifupi jamaa ni pimbi
 
Nadhani tungejua kwanza sababu inayopelekea kutopapenda maybe kuna kitu unakosa hapo na unaamini ukienda huko nje utakipata
 
Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani,

Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.

kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.

Ukiendekeza hiyo tabia hata utapokuja kuwa na familia utakuwa mtu wa mahangaiko...
 
Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani,

Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.

kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
Una nyota ya uzuluraji bro watch out! fanya maombi.siyo tabia nzuri sana hiyo.Mke na watoto wako watapata taabu saana
 
Una nyota ya uzuluraji bro watch out! fanya maombi.siyo tabia nzuri sana hiyo.Mke na watoto wako watapata taabu saana
Nitaanza kujifanyia maombi, maana hii hali siipendi.
 
Back
Top Bottom