Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 2,418
- 3,612
inafikirisha sana mkuu 🤣🤣🤣 ana tabia ya kipekee sana aloo. yaani utimue mbio na mapigo ya moyo hayajapoa na upige usingiziiNdio hivyo mkuu harakati za pimbi hizo
inafikirisha sana mkuu 🤣🤣🤣 ana tabia ya kipekee sana aloo. yaani utimue mbio na mapigo ya moyo hayajapoa na upige usingiziiNdio hivyo mkuu harakati za pimbi hizo
Ukisikia harakati za pimbi ndo hizo, anaenda mbaaaliii yani safari yote hiyo ni kulala tuSawa kwahio jamaa aache UPIMBI sindio
ila man hii point sana dem wangu mwenyewe ana mdomo balaaa yaani ni anaongea anauliza mpaka vitu vya kijinga ***** siku hizi mpaka najifanya navuta bangi akiongea sana jibu ni hapana au ndio na maelekezo tuAcha kumuogopa mkeo hata km ana mdomo vp jifunze kuwa mtawala hapo
wee kweli pimbi nazan hata akili yako haiko poaNishapata pa kwenda naenda kulala Kimara......
Usipo badilika hakuna kitakachobadilikaMara Chache sana huwa nalala Nyumbani,
Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.
kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
Wewe ntakutafuta tuwasiliane Vizuri, kwa maongezi.Nikuulize maswali
Hiyo nyumba ina usalama mean hakuna issue za Imani potofu ?
Je kazi unayofanya ni ipi ??
Je una Hali ya kuwa mpweke ??
Je unatumia muda mwingi kwenye starehe na kulalia huko huko ?
Kwann ukilala nje ya nyumba yako ndo upate amani??
Usisite kuja inbox,Wewe ntakutafuta tuwasiliane Vizuri, kwa maongezi.
Punguza ulevi... Tumia hobby yako home, kama vile kujiweka busy na kucheki movies au kusomaMara Chache sana huwa nalala Nyumbani,
Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.
kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
Ok sawaSawa, ndugu takuchek in box tufanye Mawasiliano zaidi
Binadamu huwa tuna tabia zinazofanana na za wanyama.....kitabia umefanana na pimbi, anaweza kukimbia umbali mrefu sana na akifika huko anaenda kulala tu.
Kwahiyo nawe kalale unakotaka ni kawaida
Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani,
Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.
kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
Una nyota ya uzuluraji bro watch out! fanya maombi.siyo tabia nzuri sana hiyo.Mke na watoto wako watapata taabu saanaMara Chache sana huwa nalala Nyumbani,
Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.
kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
😂😂😂😂 "Harakati za pimbi"hivyo kwa kifupi jamaa ni pimbi