Kaka Kapo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2012
- 535
- 329
Cheki www.tcu.go.tz download Undergraduate Admission Guidebook ina orodha ya kozi zote na sifa za kujiunga ktk kila kozi..Habarin wanajf Mimi ni muitim wa kidato Cha sita kwa combination ya HGL baada ya matokeo kutoka nimepata division 3 ya 13 yaani
History-D
Geography-D
E language-E
GS-S
Je, kutokana na ufaulu wangu naweza kuapply chuo gan? Na coz ipi?
Naomben msaada wenu tafadhari