kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,568
- 12,670
Jamani nina kamjomba kangu kamepata division 1.9 ya PCB.
Yani Physics C, Chemistry C, Biology C, BAM D na GS C.ndoto zake ni kuwa daktari wa binadamu. So nimejaribu kupitia matokeo yao ya mwaka huu naona PCB wamefaulu sana hivyo naona ushindani utakua mkubwa hasa kwenye chuo kama muhimbili.
So nilikuwa naomba kuwauliza kwa matokeo haya huyu mtoto anaweza kupata chuo gani kwwnye fani ya MD?
Yani Physics C, Chemistry C, Biology C, BAM D na GS C.ndoto zake ni kuwa daktari wa binadamu. So nimejaribu kupitia matokeo yao ya mwaka huu naona PCB wamefaulu sana hivyo naona ushindani utakua mkubwa hasa kwenye chuo kama muhimbili.
So nilikuwa naomba kuwauliza kwa matokeo haya huyu mtoto anaweza kupata chuo gani kwwnye fani ya MD?