Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,328
- 115,336
Ndio nimefika jana usiku Mtani.Nimekuja vipi umesharudi kutoka Iringa? ππ
Nauliza tu hivi yule Manara wenu aliwaza nini au ndio alikuwa anaitamania Yanga na hakuwa na jinsi ya kuelezea hisia zake?