Kutokana na ahadi yake: Haji Manara kesho rasmi anahamia Yanga kuitumikia

Mara baada ya Liverpool kupangwa na Barcelona kwenye hatua ya nusu fainali Afisa habari wa Simba Haji Manara akatamka kwa mdomo wake na bila kulazimishwa kuwa endapo Liverpool wataitoa Barcelona kwenye hatua hiyo na kuingia fainali atahamia Yanga pamoja na kuwa mstari wa mbele kuchangisha fedha kwa ajili ya Yanga.
Sasa Barcelona wametolewa rasmi na Liverpool na kuingia fainali,Je Manara atakamilisha ahadi aliyotoa mbele ya hadhara??
Tusubiri...
 
Ahadi ni deni akaribie jangwani uzuri kuna uongozi sasa watampangia kazi ya kufanya akushirikiana na papaa mwinyi zahera mambo yatanoga jangwani
 
Mara baada ya Liverpool kupangwa na Barcelona kwenye hatua ya nusu fainali Afisa habari wa Simba Haji Manara akatamka kwa mdomo wake na bila kulazimishwa kuwa endapo Liverpool wataitoa Barcelona kwenye hatua hiyo na kuingia fainali atahamia Yanga pamoja na kuwa mstari wa mbele kuchangisha fedha kwa ajili ya Yanga.
Sasa Barcelona wametolewa rasmi na Liverpool na kuingia fainali,Je Manara atakamilisha ahadi aliyotoa mbele ya hadhara??
Tusubiri...
Ahami atasema ni photoshop
 
Mara baada ya Liverpool kupangwa na Barcelona kwenye hatua ya nusu fainali Afisa habari wa Simba Haji Manara akatamka kwa mdomo wake na bila kulazimishwa kuwa endapo Liverpool wataitoa Barcelona kwenye hatua hiyo na kuingia fainali atahamia Yanga pamoja na kuwa mstari wa mbele kuchangisha fedha kwa ajili ya Yanga.
Sasa Barcelona wametolewa rasmi na Liverpool na kuingia fainali,Je Manara atakamilisha ahadi aliyotoa mbele ya hadhara??
Tusubiri...
Yanga tulikuwa na Manara wawili seniors, tena wachezaji achana na huyu msema hovyo . Wala hahitajiki
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom