Hata wewe hujui mkuu subiri muda utashangaa mwenyeweDah! Maisha ni safari ndefu asee.. Mama hata hakujua kama one day angekuja kuwa namba one
Aisee. Prezdaa kama anajibebisha.
🤓🤓🤓 nije kuwa namba one mie au 😳🙄🙄Hata wewe hujui mkuu subiri muda utashangaa mwenyewe
😎😎😎😎Enzi hizo Kiroboto anahitaji Sir Nature
Ndiyo macho yake yalivyo.
Hivi Juma Nature hajakula teuzi bado!?
Unaweza kuwa hata number one fan!nije kuwa namba one mie au
Ukisemacho ni kweli au? Mbona kama mheshimiwa mwenyewe kabisaHapana siyo yeye anafanana tu ila hapo ilikuwa kwenye hafla fulani juma alimtambulisha bi mkubwa wake ila kiasi fulani anashabihiana tu na mh.