GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,405
- 10,600
Nipo natoka safari kutoka dom kwenda dar nimekutana na mjumbe kutoka kigoma,anasema Baba levo kwa kura alizopata baba levo tofauti ya 80+ alimwaga pesa sio chini ya bilioni moja point mbili.
Nimekubaliana na mjumbe maana kwa zile kula ukizngatia ni mgeni CCM kweli alipambana kwa kuhonga hizo pesa wajumbe maana sio kwa utata ule kwenye matokeo Ndio maana na ujenzi wa mjengo wake alisimamisha
Napata picha hata washindi waliowapiga chini watetea nafasi kama yule wa iringa na wa makambako bwana chongolo pesa zimewatoka sana.
Jamani watoto wa masikin ubunge mtausikiq kwenye redio tu,ujipange haswaa.
Nimekubaliana na mjumbe maana kwa zile kula ukizngatia ni mgeni CCM kweli alipambana kwa kuhonga hizo pesa wajumbe maana sio kwa utata ule kwenye matokeo Ndio maana na ujenzi wa mjengo wake alisimamisha
Napata picha hata washindi waliowapiga chini watetea nafasi kama yule wa iringa na wa makambako bwana chongolo pesa zimewatoka sana.
Jamani watoto wa masikin ubunge mtausikiq kwenye redio tu,ujipange haswaa.