Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,798
Maana yangu ni Iko kiraia zaidi not pure civilian but paramilitary Tufauti na Section kama Military inteligency ambazo ziko kijeshi zaidi Tiss ndo baba yao mana Kuwa tu kiraia kunampelekea kupenya kila mahaliUnamanisha nini hapa sijaelewa? You mean kuna civilian agencies ambazo zina uwezo wa ku-operate beyond civilian borders, muundo wake ukawa umeingia hadi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, JW, PT, MT, n.k.?