Habarini waungwana,
Napenda kuwashukuru walionifungia tangu 2017 na kufunguliwa 2018 February kisha kufungiwa hadi leo kuweza kuandika chochote hapa jukwaani.
Kiukweli nilishi km nipo nyikani japo nilikuwa nacheka na kupata ushauri wenu bila hata kupata nafasi ya kuchagia chochote.
Kiujumla siwezi kulala bila kutembelea kukwani na nionapo amka kupitia baadhi ya mabandiko.
Hawa watu nikuwa nacheka hata bila kusoma walicho andika mkuu Mshana Jr, Bujibuji, demis, Gudume mzee wa familia ya Usalama wa taifa.(Pascal mayala) miss Natafuta.
Kiujumla nilikumbuka mengi jukwaani
Napenda kuwashukuru walionifungia tangu 2017 na kufunguliwa 2018 February kisha kufungiwa hadi leo kuweza kuandika chochote hapa jukwaani.
Kiukweli nilishi km nipo nyikani japo nilikuwa nacheka na kupata ushauri wenu bila hata kupata nafasi ya kuchagia chochote.
Kiujumla siwezi kulala bila kutembelea kukwani na nionapo amka kupitia baadhi ya mabandiko.
Hawa watu nikuwa nacheka hata bila kusoma walicho andika mkuu Mshana Jr, Bujibuji, demis, Gudume mzee wa familia ya Usalama wa taifa.(Pascal mayala) miss Natafuta.
Kiujumla nilikumbuka mengi jukwaani