Wajinga hawa jamaa..Kama ni NChi wanataka tena nchi ipi?
Mimi nilimsikia mwingine akisema "Atolewe nnjee huyu Jambazi mkubwa!"Ukome ukome tena ukome mara mia" mbunge wa CUF alipokuwa anamtukana Wenje.
Mwanaume gani anaongea kama shoga.
Kashika hadi kiuno na mkono mmoja uku mkono mwingine ukionyesha kwa vitendo wakati anatamka hayo maneno hadi kasonya,sipati picha angekuwa na msuli angemsuta mbaya..,pana chezea liberals"Ukome ukome tena ukome mara mia" mbunge wa CUF alipokuwa anamtukana Wenje.
Mwanaume gani anaongea kama shoga.