KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,581
- 8,601
KUTOKA FEBRUARY 16-2010-MPAKA FEBRUARY 16-2021
MIAKA KUMI NA MOJA(11) KATIKA MTANDAO BORA TANZANIA WA JAMII FORUMS.
Leo ni siku ambayo kwangu naiona kama siku ya kishujaa muno,Nasema hivyo kwakuwa nimeweza kutimiza miaka 11 katika huu mtandao nimekuwa mwanafamilia wa huu mtandao,JF kama wengi wetu tumezoea kuiita naipenda na nitaendelea kuipenda kawa sababu nyingi ila moja kuu ni kunikutanisha na watu wengi sana tofauti kimawazo na kiitikadi,pili ni sehemu niliweza kupata maarifa mengi,na mengine naendelea kuyatumia katika kuendesha Maisha yangu!.Pia najivunia kujulikana na watu wengi unaposema KakaKiiza ukweli kati ya watu mia moja (100) wa JF jina hilo halikosi hivyo basi nikitu cha kujivunia kuwa na marafiki wengi kuliko maadui. JF ni sehemu ukiitumia vema basi utafahamu mambo mengi sana na pia utanufaika sana na JF.
Kuna mambo mengi kama binafsi nimenufaika nayo hasa kikubwa ni kuwa na network kubwa katika maswala ya kibiashara na kijamii katika nchi hii nan je ya nchi,na kwa mikoani nikifika nakutana na makundi ya JF yenye ukarimu mkubwa. Hii leo nitatoa shukurani za pekee katika WING YA ARUSHA YOU’RE SO AMAIZING WING EVER! Nawapongeza sana kwani naikumbuka 2014. Mlinikaribisha nikawajoin maandalizi yalikuwa mazuri sana nikafahamiana na nyinyi kwa ukaribu tukawa kama ndugu na tunaendelea kuwa ndugu na tutaendelea kuwa ndugu!Niwaombee pumziko la amani waliotangulia mbele ya haki Mungu awarehemu wote.
Pia katika kitu ambacho siwezi kusahau ni JF siku nilipopatwa Msiba mzito wa Marehemu mke wangu 2012. Niliweza kufarijiwa na watu wengi wanaJF kimawazo nawashukuru kila uchao wana JF.Nitakuwa mnyimi wa fadhira endapo nitamaliza bila kusema Asante kwa Uongozi mzima Jamii Forum Asanteni leo sina mengi.Nimengi sana ya kuyaeleza juu ya Jamii Forums
MIAKA KUMI NA MOJA(11) KATIKA MTANDAO BORA TANZANIA WA JAMII FORUMS.
Leo ni siku ambayo kwangu naiona kama siku ya kishujaa muno,Nasema hivyo kwakuwa nimeweza kutimiza miaka 11 katika huu mtandao nimekuwa mwanafamilia wa huu mtandao,JF kama wengi wetu tumezoea kuiita naipenda na nitaendelea kuipenda kawa sababu nyingi ila moja kuu ni kunikutanisha na watu wengi sana tofauti kimawazo na kiitikadi,pili ni sehemu niliweza kupata maarifa mengi,na mengine naendelea kuyatumia katika kuendesha Maisha yangu!.Pia najivunia kujulikana na watu wengi unaposema KakaKiiza ukweli kati ya watu mia moja (100) wa JF jina hilo halikosi hivyo basi nikitu cha kujivunia kuwa na marafiki wengi kuliko maadui. JF ni sehemu ukiitumia vema basi utafahamu mambo mengi sana na pia utanufaika sana na JF.
Kuna mambo mengi kama binafsi nimenufaika nayo hasa kikubwa ni kuwa na network kubwa katika maswala ya kibiashara na kijamii katika nchi hii nan je ya nchi,na kwa mikoani nikifika nakutana na makundi ya JF yenye ukarimu mkubwa. Hii leo nitatoa shukurani za pekee katika WING YA ARUSHA YOU’RE SO AMAIZING WING EVER! Nawapongeza sana kwani naikumbuka 2014. Mlinikaribisha nikawajoin maandalizi yalikuwa mazuri sana nikafahamiana na nyinyi kwa ukaribu tukawa kama ndugu na tunaendelea kuwa ndugu na tutaendelea kuwa ndugu!Niwaombee pumziko la amani waliotangulia mbele ya haki Mungu awarehemu wote.
Pia katika kitu ambacho siwezi kusahau ni JF siku nilipopatwa Msiba mzito wa Marehemu mke wangu 2012. Niliweza kufarijiwa na watu wengi wanaJF kimawazo nawashukuru kila uchao wana JF.Nitakuwa mnyimi wa fadhira endapo nitamaliza bila kusema Asante kwa Uongozi mzima Jamii Forum Asanteni leo sina mengi.Nimengi sana ya kuyaeleza juu ya Jamii Forums