Kutoka Dodoma!


JK asiwaangushe wananchi. Kwa kuwa HANA sababu ya kuwaogopa mafisadi, nina uhahkika akiwafikisha kwenye sheria hao hapo juu he will be a trailblazer for other African leaders and he will almost certainly win the AFRICAN LEADERS ACHIEVEMENT PRIZE by Mo Ibrahim. Prize Money worth more than Tsh 5,000, 000, 000 and 200,000,000 every year for life.
 

Mkuu maneno ni mazito, lakini ukweli ni kwamba hawa jama kina lowassa na wenziwe, wanatumia dhana moja tu, nayo ni ujinga wetu wananchi, na ukitizama kwa makini events za wiki jana na leo unauona ver clear ujinga wetu wananchi,

Ni mpaka jana baada ya wananchi wengi kupiga kelele sana against maneno ya mama Anna Abdallah, na hasa our media, ndio message imefika huko kwa kundi la lowassa kuwa okay wawanchi wameshituka, ndo maana wamemuambia asigombee tena UWT, ukweli ni kwamba hawa kina lowassa na wenziwe wanategemea sana ujinga wetu wananchi, period!
 
Sikonge,
Mkuu kweli umechanganya... Aliyefanya madudu yote ni mwanae Michael (Al Pacino) na usafi ulifanyika siku mwanaye Michael alipobatizwa...walipoka Kanisani mchezo umekwisha...
Siku ya mazishi ya mzee ndio siku alofahamu wabaya wake... kumbuka mzee Colleone alimwachia Usia kuwa yeyote toka kundi lako atakayekuja kushauri kuweka Muafaka na maadui basi huyo ndiye MNAFIKI...
Kikwete kisha fuatwa na wanafiki kibao na cha kuchekesha anawaamini wote!... yaani naona kama vile bungeni kuna mchezo wa Julius Kaizari... wenye uchungu na nchi pamoja na kumtakia mema ndio wanaitwa maadui..
 
Hii ndiyo tunataka iwe plan B!
Umenena...Kama ccm hawana clue...Basi hiyo mmepewa na Sikonge!
Ila Sikonge inaweza pia ikawa wishfull thinking..Kwani kwasababu wengi tulikuwa na imani na Kikwete...Na sasa hatuamini macho yetu!
Kweli kuishi kwingi...!
 
Ushahidi Wa Kuwakamata Hao Aliowataja Sikonge Hapo Juu Upo!
Nyie Wabunge Hatutaki Tuamini Kuwa Huo Uchawi Umefanya Kazi Huko Bungeni!
Wakamatwe Mara Moja!
 


Nakubaliana na wewe kuwa ujinga umetutawala, mpaka sasa wengi wa tunaowajadili hapa kama wangekuwa kwenye "civilized countries" wasingeweza hata kuingia kwenye vikao kama bunge, NEC etc etc wangekuwa wanapitapita mahakamani au kwenye magereza. we have a big problem kuwalea na kuwatukuza wahalifu wakubwa, na kuwaua vibaka. So sad man. Hili linauma sana. Kweli kama hiyo team ya mafisadi ikipeta, lazima tukubali kuwa nchi yetu ni kapu la wajinga. Lakini at least sasa inaonekana kuwa si hivyo. naona kama wamefika siku ya 39 ya 40 just around the corner.
 
Walete plan B tuendelee kukata issue FMES TUNASUBIRI MAMBO!
 
If you are prepared then you are able to feel confident
Is jk prepared?
Confindence?
Remained to be seen as long as yuko meza moja na mafisadi na so far the slogan hapa ni...Walks like a duck,talks like a duck..Hell yeah its a gaddamn DUCK!
 
jamani hivi Pinda jana amesemaje kuhusu Epa na ishu zote za mafisadi... kama kunamtu anainfo anisaidie
 

Hawa polisi waliomhoji Chenge kwa uchawi wako tayari sasa kutoa report?
 
Hawa polisi waliomhoji Chenge kwa uchawi wako tayari sasa kutoa report?

Spika aliwapa masaa 72 kumpa ripoti ya uchunguzi wao, masaa yaliyokaribia kuisha wakasema kuwa wanapeleka unga kwenye maabara ya serikali, sasa sijui vipi kama ulisharudishwa kule ule unga, au?
 
Spika aliwapa masaa 72 kumpa ripoti ya uchunguzi wao, masaa yaliyokaribia kuisha wakasema kuwa wanapeleka unga kwenye maabara ya serikali, sasa sijui vipi kama ulisharudishwa kule ule unga, au?

..hii issue imetoweka kama ilivyotokea.

..haitorudi,na ikirudi itakuwa haina uhai.
 
[
hii issue imetoweka kama ilivyotokea.

..haitorudi,na ikirudi itakuwa haina uhai.

Sio kosa letu JF, sisi ni kuripoti yanayojiri tu, uamuzi ni wa wananchi.
 
Yaani polisi walikuwa wanasubiri deadline imalizike ndipo wapeleke unga kwa Mkemia?
Are they serious? Hapa nakubaliana na Dar si Lamu. Hili swala limeshazimwa.
 
[

Sio kosa letu JF, sisi ni kuripoti yanayojiri tu, uamuzi ni wa wananchi.

Kweli kabisa Field Marshall ES,

Uamuzi ni wa wananchi wasomaji na wote walioisikia hii habari. Kazi nyingine iko kwa viongozi wetu ambao nao wataonyesha kama wanatunza ahadi zao au la.
 
Mkuu Wangu Jasusi,

Hiyo bongo siku hizi inaitwa changa la macho, si Chenge alishasafishwa na NEC kuwa alikuwa anahama toka kiti alichokuwa anakaa zamani alipokuwa waziri na kuhamia mbele, au hukusikia hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…