Kusikia kwa kenge huja baada ya kupigwa hadi kutokwa na damu maskioni. Magamba ni sawa na kenge.Spika anasema wapinzani wana nafasi zaidi ya mbili, haya ni maajabu yanayopatikana Tanzania tu, mbona hawakulisema hili tangu Mnyika alipowaandikia barua?
Calm down, nawaunga mkono Wazanzibar kwenye hoja yao unless wewe labda ufuatilii huu mjadala unaoendelea bungeni.Wasepe kwao Zenji. Who cares??
Ni matunda gani yatakayopatikana wakati Chadema hawakujiandaa na uchaguzi huu wa leo? hii ni mbinu mbaya sana aliyokuja nayo Makinda ila Balozi wa Uingereza yupo anawasanifu tu wanavyochemka!!Msimamo wa cdm umezaa matunda!
Tujuze wagombea toka upinzani ni kina nani?
nasikia komu anaendelea kugombea.
sijui atweza kujieleza jamani.
dah tumuombee jamani ajieleze vema.
Ni nani aliyekudanganya CCM huwa wanamsikiliza mtu anapojieleza, pesa zilishaongea usiku wa kuamkia leo, na nafasi kwa wapinzani waamuzi ni CCM ndio wao wameshaamuwa wampe nani, wanachosubili ni kui endorse tu.nasikia komu anaendelea kugombea.
sijui atweza kujieleza jamani.
dah tumuombee jamani ajieleze vema.
komu cdm,na mmoja wa tadea,watatu wa nccr na mmoja cuf
Ni matunda gani yatakayopatikana wakati Chadema hawakujiandaa na uchaguzi huu wa leo? hii ni mbinu mbaya sana aliyokuja nayo Makinda ila Balozi wa Uingereza yupo anawasanifu tu wanavyochemka!!