Kutoka bungeni: Uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
si mda uchaguzi utaanza,kwa sasa spika makinda anasoma kanuni na sheria zilizounda bunge hilo na haki ya bunge letu kuchagua watanzania kutuwakilisha afrika mash.

spika amekataa mwongozo wa mbunge aliekuwa anataka kuomba kwake.

tufuatilie

my take;haki itendeke

Baada ya jana usiku CCM kukutana na kutazama kimakini juu ya uamuzi wa CHADEMA kutokushiriki kwenye uchaguzi wa bunge la Afrika Mashariki , wameamua kutoa nafasi mbili kwa upinzani dai ambalo lilikuwa miongoni mwa madai ya msingi kabisa ya CHADEMA kushiriki ama kutokushiriki.

Baada ya CCM kusalimu amri wabunge wa CHADEMA watashiriki kwenye uchaguzi huu na ndio unaendelea kwa spika kutoa maelekezo mbalimbali.

Nawasilisha.

Matokeo:
TZ Bara: Kimbisa, Adam Omar na Morunya, na Charles Makongoro Nyerere
Zanzibar: Mwinyi Abdula na Yahaya Mariam Ussi
Upinzani: Kessy Nderakindo na Taslim Twaha Issa
Kizigha
Shyrose
Mwinyi
Yahya Ussi
Taslimu
Kessy
kimbisa
murunya
makongoro
 
Kwa nini akatae mwongozo toka kwa mbunge? Spika huyu ni tatizo sana, ni mbunge gani aliyeomba mwongozo.
 
Karibu usikilize Bunge LIVE kupitia Arusha Mambo, uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki umeanza.

mkuu sio wote wa access ya mawasiliano hayo so funguka hapa tupe updates, vipi huyu jamaa baharia Le Mutu,? Washapiga chini au wamepaisha?
 
Makinda awakandya wanaipinga uchaguzi na wanaendelea na uchaguzi kama kawa
 
si mda uchaguzi utaanza,kwa sasa spika makinda anasoma kanuni na sheria zilizounda bunge hilo na haki ya bunge letu kuchagua watanzania kutuwakilisha afrika mash.

spika amekataa mwongozo wa mbunge aliekuwa anataka kuomba kwake.

tufuatilie

my take;haki itendeke

mbona mmejitoa sasa nyie CDM wenzangu?.
mbona mnawaachia wezi mabucha?.
 
Kwa nini akatae mwongozo toka kwa mbunge? Spika huyu ni tatizo sana, ni mbunge gani aliyeomba mwongozo.

alikuwa silinde wa cdm na sasa ameruhusiwa anaeleza kwamba ni vipi vyama vinavyostahili kusimamisha wagombea
 
Kawaida yake huyo,mambo yakigeuka anabaki kulalama,anyway kwa vile kaamua kuweka silaha chini 2015,tuchukuliane nae kiana
 
Aktoa baadh ya sababu ya kupnga mapendekezo ya kubadlsha kanuni za bunge kuhusiana na ishu za uchaguz wa wawaklsh wa tanzania katka bunge la EAC. Anasema haoni sababu hyo kwani hvo ndvyo mkataba wa afrca mashark ulvyo na kama ulvotafsriwa na kanuni ya 51 ya bunge
 
Baada ya jana usiku CCM kukutana na kutazama kimakini juu ya uamuzi wa CHADEMA kutokushiriki kwenye uchaguzi wa bunge la Afrika Mashariki , wameamua kutoa nafasi mbili kwa upinzani dai ambalo lilikuwa miongoni mwa madai ya msingi kabisa ya CHADEMA kushiriki ama kutokushiriki.

Baada ya CCM kusalimu amri wabunge wa CHADEMA watashiriki kwenye uchaguzi huu na ndio unaendelea kwa spika kutoa maelekezo mbalimbali.

Nawasilisha.
 
Tofauti ya huyu mama na Lusinde ni kuwa Lusinde anatukana hadharani wakati huyu mama anatukana faraghani. Akili zao zinafanana kabisa, na wote ndio majembe ya ccm
 
Back
Top Bottom