Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
- Thread starter
- #81
shyrose banji anajieleza
Kama watafuata ushauri wa Mwakyembe hawa wabunge wa CCM basi Le Mutus nje wa uwanja completely, maana Mwakyembe amesema wagombea wengi wko chini ya viwango, na bila sha Le Mutus ni one of them.
Wabunge wakizingatia kigenzo cha Lugha peke yake huyu Shyrose ameshashinda, maana anakitafuna kimombo kama Lawrence Masha!!....banji shadru...........anenda kujieleza
Kama watafuata ushauri wa Mwakyembe hawa wabunge wa CCM basi Le Mutus nje wa uwanja completely, maana Mwakyembe amesema wagombea wengi wko chini ya viwango, na bila sha Le Mutus ni one of them.
Hapa ndipo ninapomsubili kwa hamu Le Mutus, tuone uwezo wako na zile hahahahahahahahahahaha!! zitakuwepo?Haya wakina maimuna imekula kwao lugha ya meli sasa
shyrose banji anajieleza
Wabunge wakizingatia kigenzo cha Lugha peke yake huyu Shyrose ameshashinda, maana anakitafuna kimombo kama Lawrence Masha!!....
sometimes accent inaficha maduduShyrose anajieleza vizuri