Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ina maana kazi kubwa ya Dk Slaa bungeni ni kuibua kashfa tu? Kila mara akiongea ni hadithi ile ile ya kuibua kashfa!
Bongolander sasa hutaki aibue yaliyo jificha ? Kumbuka Slaa si Kilaza anaibuwa na kusimamia issue .Hili linakukera sana ?