Kutoka Bungeni: 2006 - 2010

Ina maana kazi kubwa ya Dk Slaa bungeni ni kuibua kashfa tu? Kila mara akiongea ni hadithi ile ile ya kuibua kashfa!


Bongolander sasa hutaki aibue yaliyo jificha ? Kumbuka Slaa si Kilaza anaibuwa na kusimamia issue .Hili linakukera sana ?
 
Bongolander, kazi ya mbunge ni pamoja na kuisimamia serikali, sasa ulitaka Dr.slaa akisimama naye aisifu na kuipigia makofi serikali kama wengine?

Mbunge ni lazima awe anaisimamia serikali, sasa hawa walichukuliwa hatua gani wakina Mahita na wenzake? hapo ndipo wabunge wanatakiwa kuingilia kama hakuna hatua zimechukuliwa wakati huu ni uharamia ,kuwafanya binadamu wenzako majaribio tena na dawa feki hili linauma sana .

Waliofanyiwa unyama huu ni watanzania tena masikini kwa kuahidiwa kuwa wangelipwa lakini hawajalipwa kama walivyokubaliana ,sasa wakilalimika kwa slaa asiwasemee?
 
Bongolander, kazi ya mbunge ni pamoja na kuisimamia serikali, sasa ulitaka Dr.slaa akisimama naye aisifu na kuipigia makofi serikali kama wengine?

Mbunge ni lazima awe anaisimamia serikali, sasa hawa walichukuliwa hatua gani wakina Mahita na wenzake? hapo ndipo wabunge wanatakiwa kuingilia kama hakuna hatua zimechukuliwa wakati huu ni uharamia ,kuwafanya binadamu wenzako majaribio tena na dawa feki hili linauma sana .

Waliofanyiwa unyama huu ni watanzania tena masikini kwa kuahidiwa kuwa wangelipwa lakini hawajalipwa kama walivyokubaliana ,sasa wakilalimika kwa slaa asiwasemee?

Zaid ya yote Slaa kahoji na hajasema analipua bomu .Waandishi wa TZ ndiyo wanaleta ushabiki wakati Slaa akiwa kazini walaumu hao.Pia is better kahoji maana mimi sikuwa nalijua hili .Huoni sasa faida na sasa nitatega masikio ?
 
Bongolander sasa hutaki aibue yaliyo jificha ? Kumbuka Slaa si Kilaza anaibuwa na kusimamia issue .Hili linakukera sana ?

Lunyungu hili linanifurahisha, lakini tatizo ni kuwa Dr Slaa akiwa ni mbunge wa mabomu tu atakuja fika hatua ya kuwa kama Mrema, na kufa kisiasa kabisa, kama hakuna mambomu ina maana yeye hatakuwa na maana tena. NI vema kama wapinzani wakaja na concreate issues ambazo zinaweza kutuonesha kama wao watakua alternative party, sio siasa za mabomu tu. Hili ndio tatizo langu.
Najua kuwa moja ya kazi ya opposition ni kulipua mabomu, lakini hiyo isiwe ni kazi ya pekee. Angekuwa anatuambia pia na alternative policies ambazo wanazipanga ili kuweza kuhakikisha kuwa hakutakuwa na mabomu hayo ingekuwa ni vizuri sana.
I salute Dr Slaa and other opposition MPs, but the should also have a touch or broader issues and policies, sio mabomu tu, hiyo itashusha hadhi yao.
 
Lunyungu hili linanifurahisha, lakini tatizo ni kuwa Dr Slaa akiwa ni mbunge wa mabomu tu atakuja fika hatua ya kuwa kama Mrema, na kufa kisiasa kabisa, kama hakuna mambomu ina maana yeye hatakuwa na maana tena. NI vema kama wapinzani wakaja na concreate issues ambazo zinaweza kutuonesha kama wao watakua alternative party, sio siasa za mabomu tu. Hili ndio tatizo langu.
Najua kuwa moja ya kazi ya opposition ni kulipua mabomu, lakini hiyo isiwe ni kazi ya pekee. Angekuwa anatuambia pia na alternative policies ambazo wanazipanga ili kuweza kuhakikisha kuwa hakutakuwa na mabomu hayo ingekuwa ni vizuri sana.
I salute Dr Slaa and other opposition MPs, but the should also have a touch or broader issues and policies, sio mabomu tu, hiyo itashusha hadhi yao.

Hii ni sawa lakini tunahitaji watu wa kutufichulia haya mambo ili marekebisho stahiki yafanyike. Vinginevyo kama tutapendekeza sera tu wakati wengine wanabomoa bila sisi kujua itakuwa sawa na kujaribu kujaza maji kwenye ndoo inayovuja. Tunahitaji watu wa kutuonesha hayo matundu ili yazibwe haraka, ama ndoo itupiliwe mbali tukanunue mpya.
 
Nchi nyingi duniani medical research ni matter of national security- kwa hivyo mkono wa serikali ni muhumu!

Kama (serikali) NIMRI walikataa kutoa kibali huu utafiti ufanyike- je ni kwa nini latter ukafanyika?

Je mtu anaweza tu kufanya chochote Tz hata baada ya mamlaka husika kukataa kutoa kibali?

Je kuna rushwa? Au limited capacity ya TZ institutions to monitor what is happening?
 
Ina maana kazi kubwa ya Dk Slaa bungeni ni kuibua kashfa tu? Kila mara akiongea ni hadithi ile ile ya kuibua kashfa!
Anatimiza wajibu wake kama mbunge. Au sio kazi ya bunge kuisimamia na kuikosoa SIRIKALI??Kama ukosoaji huo unakuwa ni Kashfa hilo ni suala lingine. Wanahitaji kukosolewa ili wajirekebishe wasije kurudia hayohayo madudu huko mbeleni.
 
Lunyungu hili linanifurahisha, lakini tatizo ni kuwa Dr Slaa akiwa ni mbunge wa mabomu tu atakuja fika hatua ya kuwa kama Mrema, na kufa kisiasa kabisa, kama hakuna mambomu ina maana yeye hatakuwa na maana tena. NI vema kama wapinzani wakaja na concreate issues ambazo zinaweza kutuonesha kama wao watakua alternative party, sio siasa za mabomu tu. Hili ndio tatizo langu.
Najua kuwa moja ya kazi ya opposition ni kulipua mabomu, lakini hiyo isiwe ni kazi ya pekee. Angekuwa anatuambia pia na alternative policies ambazo wanazipanga ili kuweza kuhakikisha kuwa hakutakuwa na mabomu hayo ingekuwa ni vizuri sana.
I salute Dr Slaa and other opposition MPs, but the should also have a touch or broader issues and policies, sio mabomu tu, hiyo itashusha hadhi yao.

Sasa we ulitaka afanye nini?? Akiona Mikataba mibovu,Wizi serikalini akae kimya kwa sababu ameshalipua kashfa nyingi?? Hivi umeshasoma kazi za bunge ni nini.Ni lazima u-scrutinize kitu kabla ya kukipitisha.
Ndo taabu ya sisi watanzania tunapenda kujifanya kila kitu saafi.Kapatikana mtu jasiri ambaye yuko tayari kuiambia serikali makosa yake tumeshaanza kumtafutia sababu.Bora basi awe anakwenda Bungeni alamba usingizi.
 
Bongolander Ulitaka Akamtongoze Mama Kilango,,,watu Wameamka Sasa
Jitahidi Na Wewe Mwaga Sumu
 
Bongolander,

Nimesikitishwa na uwezo wako mdogo wa kufikiria na kupambanua mambo, pamoja na kuonekana kutokerwa na mambo yanayowasibu wananchi wetu.

Dr. Slaa ni fimbo ya wanyonge, yeye kazi yake pamoja na kuwakilisha wananchi wa jimbo lake kazi nyingine ni pamoja na kuikosoa serikali, hio ndio kazi maalum na mahususi ya upinzani. Kufichua uozo, kufichua ufisadi, kufichua kashfa pamoja na kutoa mawazo mmbadala. Hata hivyo, Dr. slaa amekua akisifia na kuipongeza serikali pale inapofanya mambo mazuri pia.

Ndugu yangu naomba uende shule ukajifunze nini maana ya siasa ya vyama vingi (multiparty democracy)
 
Bongolander Ulitaka Akamtongoze Mama Kilango,,,watu Wameamka Sasa
Jitahidi Na Wewe Mwaga Sumu

Umenichekesha sana ndugu mkulu .Unajua kwanza jamaa yaani Slaa hakusema ni bomu .Yeye kauliza swali.Bungeni hawaendi kuelezea sera za Vyama vyao bali kuongelea mambo ya kitaifa .Ukitaka kuijua sera ya Chama cha Slaa yaani Chadema ingia online searcg for Chadema.Mnyika mpe huyu mkuu mistari kidogo ama afike ofisi ya Chadema anunue kijitabu na utasoma mengi ya kutosha .

Unataka kujua kwanza kuhusu sera .Juzi Waziri wa Elimu kasema from now everyone will be served from Mkoa aliopo.Unakumbuka Chadema na sera ya kupeleka huduma muhimu mikoani na hata ku suggest Majimbo ? Ama haya huwa huyasomi ?
 
Lunyungu hili linanifurahisha, lakini tatizo ni kuwa Dr Slaa akiwa ni mbunge wa MABOMU tu.... na kufa kisiasa kabisa, kama hakuna MABOMU ina maana yeye hatakuwa na maana tena. NI vema kama wapinzani wakaja na concreate issues ambazo zinaweza kutuonesha kama wao watakua alternative party, sio siasa za MABOMU tu. Hili ndio tatizo langu.
kazi ya opposition ni kulipua MABOMU... Angekuwa anatuambia pia na alternative policies ambazo wanazipanga ili kuweza kuhakikisha kuwa hakutakuwa na MABOMU.....
I salute Dr Slaa and other opposition MPs, but they should also have a touch or broader issues and policies, sio MABOMU tu, hiyo itashusha hadhi yao.

Bongolander,wala hilo neno 'Mabomu' lisikutishe sana,tuliridhi tu neno hilo tangu kipindi kile cha awamu ya Tatu,na nnakubaliana nawe kwa kiasi fulani lina-'sound a bit cheap'haswa ukizingatia 'kufa'kisiasa kwa Mhe.Mrema.

Lakini naomba neno hilo Lisipotoshe Umaana halisi wa kazi azifanyazo Dr.Slaa,kufichua Siri/Uozo ndani ya watawala wetu na serikali kwa ujumla ambapo ni WANANCHI wachache mnooo!! wanaoufahamu.Sote twajua bila ya kusafisha/kufichua maovu hayo KESHO watakuja tena tu!! bila ya aibu yeyote na kuomba kura kwa WATANZANIA.
Isitoshe mabomu anayoya-'Doctor' Bwana huyu si majungu au Propaganda,ukifuatilia yanaukweli asilimia 80% ndani yake!!Infact Bomu moja tu WATANZANIA tumeshtuka Usingizini,je akilipua tisa kama hayo???

**BoT,Rich Mond is just a few in Dr.Slaa's Tool Box,there is many yet to be exploited**-i'll be waiting!!
 
MBUNGE wa Karatu (Chadema), Dk Willibroad Slaa, ameibua kashfa nyingine inayomhusisha Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu, kwamba hospitali yake.....



Unaweza kukuta 'Motive' ya kuanzisha hospitali hiyo ilikuwa ni kutibu wale Majambazi wote waliojeruhiwa ktk matukio ya Ujambazi jijini Dar!!
....Nilisoma kwenye gazeti moja kuwa kuna ujambazi ulifanyika ktk Benki mojawapo Dar,Jambazi mojawapo likapigwa risasi kadhaa kwenye paja...na kujeruhiwa vibaya sana lakini haijulikani lilitibiwa ktk hospitali gani??
 
Bongolander,

Nimesikitishwa na uwezo wako mdogo wa kufikiria na kupambanua mambo, pamoja na kuonekana kutokerwa na mambo yanayowasibu wananchi wetu. Dr. Slaa ni fimbo ya wanyonge, yeye kazi yake pamoja na kuwakilisha wananchi wa jimbo lake kazi nyingine ni pamoja na kuikosoa serikali, hio ndio kazi maalum na mahususi ya upinzani. Kufichua uozo, kufichua ufisadi, kufichua kashfa pamoja na kutoa mawazo mmbadala. Hata hivyo, Dr. slaa amekua akisifia na kuipongeza serikali pale inapofanya mambo mazuri pia. Ndugu yangu naomba uende shule ukajifunze nini maana ya siasa ya vyama vingi (multiparty democracy)

Heshima kwako mkuu,
Labda sijaeleweka kwako vizuri, au wewe ndio unashindwa kunielewa. Sijapinga alichosema Slaa nakiunga mkono sana, kufichua uovu ni sehemu ndogo sana ya kazi ya wabunge wote wa upinzani na walio chama tawala, lakini sio kazi pekee ya upinzani. Ninachosema ni kuwa upinzani kazi yao sio kulipua MABOMU tu, kama alivyokuwa akifanya Mrema, kuna mengi na makubwa ambayo yanaweza kuwa na manufaa zaidi, ya kutufanya watanzania tuwe na alternative government. Lakini Ni vigumu kuwa na watu ambao kazi yao ni kulipua mambomu tu na sio kutuambia strategies zao na policies zao za kufanya mambo kama hayo yasitokee tena. Kama kutakuwa hakuna mabomu ina maana Slaa atakuwa hana cha kusema, thus kwa maana hiyo finyu ya upinzani unayoifikiria wewe kutakuwa hakuna opposition! Elewa vizuri.
Kwa maana unayofikiria wewe wenye uzalendo wote walioko ndani ya CCM walioshiriki kufichua maovu yaliyoko ndani ya serikali ni wapinzani, au wasio wana CCM na waiso serikali walioshiriki nao ni wapinzania, hii si kweli.
 
Heshima kwako mkuu,
Labda sijaeleweka kwako vizuri, au wewe ndio unashindwa kunielewa. Sijapinga alichosema Slaa nakiunga mkono sana, kufichua uovu ni sehemu ndogo sana ya kazi ya wabunge wote wa upinzani na walio chama tawala, lakini sio kazi pekee ya upinzani. Ninachosema ni kuwa upinzani kazi yao sio kulipua MABOMU tu, kama alivyokuwa akifanya Mrema, kuna mengi na makubwa ambayo yanaweza kuwa na manufaa zaidi, ya kutufanya watanzania tuwe na alternative government. Lakini Ni vigumu kuwa na watu ambao kazi yao ni kulipua mambomu tu na sio kutuambia strategies zao na policies zao za kufanya mambo kama hayo yasitokee tena. Kama kutakuwa hakuna mabomu ina maana Slaa atakuwa hana cha kusema, thus kwa maana hiyo finyu ya upinzani unayoifikiria wewe kutakuwa hakuna opposition! Elewa vizuri.
Kwa maana unayofikiria wewe wenye uzalendo wote walioko ndani ya CCM walioshiriki kufichua maovu yaliyoko ndani ya serikali ni wapinzani, au wasio wana CCM na waiso serikali walioshiriki nao ni wapinzania, hii si kweli.

Mkuu hizo kazi zingine anazifanya pia ila hapa watu wanaripoti kile kinachotuumiza Watanzania wengi."The mostInteresting newz"
 
Hivi huyu Mahita si alituaga anaenda kulima Morogoro, ghafla bin vuu ana run utafiti wa ukimwi!

Only in Tz...........
 
Heshima kwako mkuu,
Labda sijaeleweka kwako vizuri, au wewe ndio unashindwa kunielewa. Sijapinga alichosema Slaa nakiunga mkono sana, kufichua uovu ni sehemu ndogo sana ya kazi ya wabunge wote wa upinzani na walio chama tawala, lakini sio kazi pekee ya upinzani. Ninachosema ni kuwa upinzani kazi yao sio kulipua MABOMU tu, kama alivyokuwa akifanya Mrema, kuna mengi na makubwa ambayo yanaweza kuwa na manufaa zaidi, ya kutufanya watanzania tuwe na alternative government. Lakini Ni vigumu kuwa na watu ambao kazi yao ni kulipua mambomu tu na sio kutuambia strategies zao na policies zao za kufanya mambo kama hayo yasitokee tena. Kama kutakuwa hakuna mabomu ina maana Slaa atakuwa hana cha kusema, thus kwa maana hiyo finyu ya upinzani unayoifikiria wewe kutakuwa hakuna opposition! Elewa vizuri.
Kwa maana unayofikiria wewe wenye uzalendo wote walioko ndani ya CCM walioshiriki kufichua maovu yaliyoko ndani ya serikali ni wapinzani, au wasio wana CCM na waiso serikali walioshiriki nao ni wapinzania, hii si kweli.


Bongolander mkitaka mambo ya hao akia Chadema sawa na CCM kuna vitabu haziko Bungeni .Pale Bungeni ni kumkoma nyani na kuweka sawa usaawa wa Nchi kwa maisha ya kesho .

Kwenye kamati kulikuwa na mpinzani sawa na ilivyo sasa Zitto na kamati yeye si mjinga angaliweza kuandika report yake na kuikabidhi ikasomwa Bungeni so kumbuka imechukua muda gani hadi leo wanakuja kukomaa na richmond wakati Tanzania imeingia katika hasara ya ajabu na bado tunaingia hasara
 
Ninasikitika sana kwamba nilisaidia kutoa Virodine kwa wagonjwa Lugalo hospitali na ziliwafanya kuharisha sana among other side effects including deaths. Virodine zinafanana sana na dawa za kienyeji na aliyesimamia hii study ni Dr Balele na ilimlipa sana!!! Hata ilipokuja kuwa kashfa baada ya wizara kukataa kwamba haijatoa kibali hata costech vilevile Balele alihamishiwa Makao Makuu ya Jeshi kuwa Director of Medical Services badala ya kuwa Doctor incharge Lugalo hospital na Director kurudishwa Lugalo!!! Sijui hii ilikuwa demotion au promotion?

Huu mradi wa Virodine baada ya kukataliwa kwa ethical issues aliuchukua General Mboma akijua anaongoza askari wasiojua kitu na akatengeneza pesa sana kwa kushirikiana na Balele! Mungu aturehemu waTz wengi walikufa nawafahamu lakini nani atawasemea??? Jwtz ni chombo kinachoogopwa kama supreme na ndio maana askari wetu hawana wanachojua zaidi ya kuelekeza silaha mbele tu. Bado tunacrem tu!! Ofisa wa Tz hana tofauti na askari wa Kenya tu hapa jirani, tuombe Mungu isizuke vita tu tutamalizana wenyewe kabla ya adui!

Nawakilisha wakuu! yapo mengi jeshini ila nani ana ujasiri wa kusema???
 
Back
Top Bottom